lord atkin
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 205
- 769
Aisee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuwa mpinzani unatakiwa uweje??Aaaahhh wapinzani wa Tanzania harakati za futari na dhifa za kitaifa wanazipenda sana
Kuwa mpinzani unatakiwa uweje??
Muanzisha thread na Mbowe...utasema Mr and Mrs.....
Eti mtu mzito kwenye futari dah...
Shida nnTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba , katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Tanzania na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais wa Marekani , miongoni mwa watu wazito waliohudhuria jambo hilo alikuwepo Mwamba wa siasa za Tanzania na Africa Freeman Mbowe .
Taarifa zinadokeza kwamba Freeman Mbowe amepata wasaa mzuri wa kuteta mambo muhimu na Makamu huyo wa Rais wa Marekani .
Yajayo yanafurahisha .
Aliye watuma yukwapDah maisha haya buana. Yuko wapi Sabaya? Yuko wapi Makonda? Heri James yuko wapi? Kihongosi? Ally Heppi? Yule DC aliyeharibu Mali za Freeman Mbowe?? Dah
AmenMbowe ni mhimili wa amani na siasa za uvumilivu zisizo na kinyongo! Mambo yote aliyofanyiwa na ccm ingekuwa mtu mwingine asingeweza kushirikiana nao! Long live Mbowe!
Wananchi wa Chato wameanza kuamka , wamepiga kiberiti kituo cha polisi baada ya polisi kuua raia .Watu wamejifunza kutoka kwa mwendazake. Sasa hivi uwanja wa chato, watu wanaanikia mahindi.
.
Unaakili sanaMbowe ni mhimili wa amani na siasa za uvumilivu zisizo na kinyongo! Mambo yote aliyofanyiwa na ccm ingekuwa mtu mwingine asingeweza kushirikiana nao! Long live Mbowe!
NAISUBIRI TEUZI
Mimi mwanamapinduzi, hakika mmenilea.
Mmenifunza ujuzi, elimu kunipatia.
Sasa nawaomba kazi, Ili kujitegemea.
Naisubiri teuzi, niweze kujikomboa.
Kwa hapa ninaujuzi, kwa kazi nilosomea.
Na Nikajifunza kazi, tena kwa kujitolea.
Nawaomba viongozi, waweze nifikiria.
Naisubiri teuzi, niweze kujikomboa.
Kwa elimu bila kazi, hakika ninaumia.
Vigezo vipo nakizi, sina wa kunitetea.
Mwisho nipate uchizi, mawazo kunizidia.
Naisubiri teuzi, niweze kujikomboa.
Mimi sifanyi ajizi, nipo radhi kujitoa.
Sitakuwa mkupuzi, uzalendo utamea.
Kweli nitapiga kazi, hili mtashuhudia.
Naisubiri teuzi, nafasi kunipatia.
Nakuomba kiongozi, Suluhu mama Samia.
Mwanao naomba kazi, niweze kutumikia.
Wasifu ni toshelezi, tafadhali angalia.
Nasubiria teuzi, Suluhu mama Samia.
Ninasubiri teuzi, labda utanichagua.
Nami nitapata kazi, niweze piga hatua.
Niiondoe simanzi, huzuni kuiondoa.
Naisubiri teuzi, Suluhu Mama Samia.
Y H K
2023