Ikulu: Rais Samia na viongozi mbalimbali wakati wa futari leo Machi 30, 2023

Watu wamejifunza kutoka kwa mwendazake. Sasa hivi uwanja wa chato, watu wanaanikia mahindi.

Yale mambo yakufukuzishana kazi muda wwte hayapo.

Umechelewa kazini hauna kazi , unawekwa selo au unashushwa cheo.

Watu wasiojulikana hawapo sasa.

Matambo yote mwisho unafukiwa ardhini. Tuishi kwa amani na upendo.
 
Muanzisha thread na Mbowe...utasema Mr and Mrs.....

Eti mtu mzito kwenye futari dah...
 
Big boys in the house, nimemuona na JK pia.
 
Ni mpuuzi tuu atakayedhani Mbowe atasusia chakula cha pamoja na makamu wa rais wa Marekani
 
Shida nn
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…