FaizaFoxy habari za mchana?? hapo kwenye Blue sijakuelewa!!!!!
Alielezea hilo. Huwezi ku speculate the past.
Kigezo chenu ni Kikwete? kwa kuwa yeye hivi na nyinyi ni lazima muwe hivyo? Kama ni hivyo igeni na hii basi:
Most Handsome African President.
Chanzo: The official list of top 10 most handsome African presidents
mkuu unaona aibu kwa hii habari hapo juu kumtaja mh.lowasa .hata kama lusinde humpendi ajaribu kutumia lugha nyepesi huu ni unyanyapaa wa wazi .View attachment 251733
Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.
Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.
Chanzo: RFA magazeti
View attachment 251733
Mh. Lusinde amesema Ikulu sio wodi ya wagonjwa na kumnanga dk Slaa.
Awali ilielezwa ña mbunge mmoja kuwa zikianzishwa mbio kati ya Kinana,Maalim Seif na Slaa basi padri ataishia hospitalini kwa afya mgogoro. Spika nae akachagiza kuomba VIP marathon ili watu wasiofiti kiafya wajulikane.
Chanzo: RFA magazeti
tujuze alisemaje kuhusu kifafa chake cha kuanguka
maana kuna kipindi hapo mjini bongo nilikuwa nakutana nae hindumandal hospital.. nikauliza manesi wakasema anakuja kuchukua dozeeee yake.
NYIE NDO AMJAELEWA ILO NI DONGO KWA EDWARD LOWASA. KILA MTU ANAMFAHAMU. . UYU LUSINDE KIBAJAJi NI TEAM MEMBE
..mbona JK mgonjwa?
..haya ni matatizo ya kusema bila kufikiri.
..Lusinde alimlenga Dr.Slaa, lakini ameishia kumtungua Raisi Kikwetete.
cc assadsyria3
Kwani vp umeridhika slaa afya mgogoro?Afya ya Lowasa vipi?
Mkuu, mlengwa ni EL.Mleta uzi au kwa makusudi au bila kujua akafikiri ni Dr. Hatujasikia Slaa kwenda matibabu kama EL.Na hata kwenye kikombe cha babu wote tunajua akina nani walikuwa huko.
tujuze alisemaje kuhusu kifafa chake cha kuanguka
maana kuna kipindi hapo mjini bongo nilikuwa nakutana nae hindumandal hospital.. nikauliza manesi wakasema anakuja kuchukua dozeeee yake.