IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Ili tupae kiuchumi Anahitaji Aongoze Miaka 20 ili amalizie miradi yake yote, kama ninavompinga jpm na ninapompongeza tuungane mkono makamanda.
Mkuu Nina wazo Jamaa ni Mzuri,Ila Katiba Ni Msahafu,Kwani Akitokata Kwa Mujibu wa Katiba hata Kama Hajamaliza Miradi kwani Serikali si IPO?
Miradi si ajae ataendeleza?
Au Ni Lazima awepo Yeye alieanzisha kila kitu ili Kuona Mwisho wake?
Basi Kama ni Hivyo Jk asingeondoka mpaka Uwanja wa Ndege ukamilike,
Kama Kila Baada ya Miaka 5 uchaguzi unafanyika ndani ya Chama chake na Nchi kwa Ujumla akipata Vema kabisa 100%,Asipopata Mwingine ataendelea Kwanini Mnataka Kuchuma dhambi kuaminisha kuwa Lazima Kila alichokianzisha MTU Fulani mpaka Kitimje lazime awepo!
Acha Demokrasia hasa Kwenye kutawala Watu itawale,Ila Kwenye kuchagua Maendeleo hakuna Cha Demokrasia Naunga Mkono Miradi alioianzisha jamaa 100%.
Yote.Jamaa yuko poa sana!
 
Nchi inazalisha megawat 1500 na uhitaji ni megawat 2500 kwa makadilio na ST gorge inazalisha megawat 2000 jumla ikishaunganishwa na grid ya taifa nchi itazalisha megawat 3500 hivi sasa usichokijua ni kipi ?
Gesi tuliambiwa na CCM itamaliza tatizo la umeme, kwa sasa sio gesi tena ni maji
 
Only fools can waste time listerning .......
Wabongo munavituko! GT thinker yeyote lazima asimkilize yeyote ata chizi kazi inaaki kwake kuchambua tu! Hivi unafikiri Zitto hajamsikiliza? unafikiri Lissu hajamsikiliza leo?
 

Ulijipanga kivipi kwa mfano? Labda ufafanue maana hakuna maendeleo bila kutolea jasho
 
Kama ni umaarufu kidini wa kuitiwa Ikulu basi angewaita hata na Shehe Ponda na Kakobe. Ameanza kuwabembeleza wanao mpinga? Au ni kwa vile ndani ya nyumba #Membe kapiga chafya yeye makamasi yana churuzika?
Membe angalia utaua watu kwa kihoro!
 
Mimi kinachonisumbu ni uwongo, hili bwawa ni kubwa kuliko lile la ethiopia, ambalo limeamza kujengwa 2014 na mpaka leo ni 60% done na litachukua miaka minane kulijaza, leo naambiwa bwawa kubwa zaidi litajengwa kwa miezi 36 na kujaa miezi sita huu uwongo utaisha lini?
 
Kama ni umaarufu kidini wa kuitiwa Ikulu basi angewaita hata na Shehe Ponda na Kakobe. Ameanza kuwabembeleza wanao mpinga? Au ni kwa vile ndani ya nyumba #Membe kapiga chafya yeye makamasi yana churuzika?
Membe angalia utaua watu kwa kihoro!
mh Membe tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…