IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Too much taxation inaua biashara na haijengi nchi.
Nchi gani ilikufa kibiashara kwa ajili ya kutoza Kodi? Na chanzo Cha Kodi, ukiacha Kodi za kiajria, SDL, PAYE and likes, Ni Kipi zaidi ya biashara?
 
Yaani kasema kabisa Abul Gamal Nasser
Kwa kweli kazi tunayo maana mimi namjua Jamal Abul Nasser
Lakini kwa mradi huu hongera sana maana tunawajengea watoto wetu wafaidi
Tuumie tu Lakini yajayo ni mazuri
 
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.

Miradi hii mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)

Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.

Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..

Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka/biashara nyingi zinafungwa.

Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.

Kamati ya Bunge ya Bajeti yahofia makusanyo yote ya serikali kutumika kuhudumia deni la Taifa, yataka kuwe na ukomo wa kukopa - JamiiForums

Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya
kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.

Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.


Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
Huu mradi na reli ni lazima labda upigie kelele mingine.
 
Ukiyataka maendeleo huwezi kukwepa gharama. Kuna mambo ya msingi tulikuwa hatuyafanyi, na yana gharama kubwa.

Huwezi kuutegemea uchumi ambao msingi wako hauna uhusiano na uzalishaji wa ndani.

Kutegemea uchumi usiokuwa na misingi ya ndani, ni kujidanganyana, kwani utaishia kutumia fedha nyingi za kigeni kununua vitu kama vijiti vya kuchokonoa meno.

Wenye akili inayoona mbali wanaelewa maana ya mradi kama huu wa stieglers gorge.
 
Je utekelezaji wa usambazaji wa umeme wa gesi umetumika kwa kiasi gani? .Tumekuwa na vipa umbele(priorities) vinavyogharimu fedha nyingi za mikopo.Ingefaa tumalize kipa umbele kimoja ka cha kutengeneza reli ya kati,uchumi wetu ungepaa maana usafirishaji wa mizingo inayokwenda nchi jirani ungeongezeka ,barabara zetu zingedumu nk.
 
Kati ya vitu ambavyo tutakuja kuvijutia siku zijazo ni pamoja na kukimbilia huu mradi wa Stiegler's gorge.!
Njia mwafaka kwa taifa letu ilikuwa ni kuwekeza kwenye umeme rafiki wa mazingira (jua/solar), upepo au gesi kama ambavyo ilifikiriwa na waliomtangulia JPM...
Anway; hata wanaopotea njia wana kiongozi wao!!
Hydro ni cheap Sawa maana si unatumia maji kwenda kusukuma yale mamitambo mafuta hutumi kwa kiasi kikubwa sana mafuta inatumia ku lubricant mamashine...
Sema mradi utachukua miaka si chini ya 10 au zaidi kuisha....si umeona wa Ethiopia mpk leo wanajenga
Changamoto tu uaribu wa Mazingira,mambo ya global warming......
Ila waombee sana mvua zinyeshe mvua ikijanyesha syo kwa wingi italeta mushkeli

Hapo chacha....

Ova
 
Aswam ilijengwa na nani?
hadi leo ina miaka mingapi?
Jaribu kuficha ujinga wako basi.
Hao ndio watoto waliozaliwa baada ya Mwalimu Nyerere kuwa ameshafariki. Watoto wa selfie wa miaka hii ya sasa.

Hajui kwamba Misri kuna Pyramids ambazo zilijengwa na wamisri wenyewe miaka mingi kabla ya mzungu hajajua kuvaa boksa na viatu.
 
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.

Miradi hii mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)

Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.

Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..

Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka/biashara nyingi zinafungwa.

Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.

Fungua hii link hapa chini uone ni wapi hii mikopo inakotupeleka kama Taifa.

Kamati ya Bunge ya Bajeti yahofia makusanyo yote ya serikali kutumika kuhudumia deni la Taifa, yataka kuwe na ukomo wa kukopa - JamiiForums

Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya
kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.

Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.


Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.

Umekosa la kuponda ukaona bora uongee tu hvyo
Nakushauri penda nchi yko na jarb kutumia akili kwenye kujua mazr na mabaya
 
Kuna mtu ana picha ya hao watumishi wakati wakiwa Ikulu?

Gwajima, Lusekelo na huyo mwingine.
Hiyo
Capture-4.jpeg
 
Back
Top Bottom