Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kwamba woga umetamalaki ndani ya nyumba?mh Membe tena?
Kama ni umaarufu kidini wa kuitiwa Ikulu basi angewaita hata na Shehe Ponda na Kakobe. Ameanza kuwabembeleza wanao mpinga? Au ni kwa vile ndani ya nyumba #Membe kapiga chafya yeye makamasi yana churuzika?
Membe angalia utaua watu kwa kihoro!
Hebu tuachie ushamba wako mkuu. Hiyo ni heshima kwa ndege hasa ituapo mahali kwa mara ya kwanza ndo humwagiwa maji (water salute).Munakumbuka mulituambia Ndege zile injini zake kimeo zimeshika moto ndiyo maana zinaishia kumwagiwa maji?
tumewazoea kelele zenu
kafanyaje,Gwajima!
Kama ni umaarufu kidini wa kuitiwa Ikulu basi angewaita hata na Shehe Ponda na Kakobe. Ameanza kuwabembeleza wanao mpinga? Au ni kwa vile ndani ya nyumba #Membe kapiga chafya yeye makamasi yana churuzika?
Membe angalia utaua watu kwa kihoro!
mhIla kiyama kuna 'wachungaji' watakuwa kuni kule jehenam.
Aswam ilijengwa na nani?Technology ya kujenga vitu kama hivyo Misri, nchi masikini kama sisis waliipata wapi?
Aswam ilijengwa na warusi kwa mika 11, sisi tunataka kujenga karibu sawa na hilo kwa miezi 36 , chambua wewe mwenyeweAswam ilijengwa na nani?
hadi leo ina miaka mingapi?
Jaribu kuficha ujinga wako basi.