Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa namna hii ni wa kupingwa huwezi toa tamko la kishwaini kama hiliNinauhakika hiyo sijui stilaz goji itaishia kuwa kimeo kama boing
Jazba si nzuri kwa afya.Kasi gani wakatu uchumi unavurugika?
Kasi tungeiona kwenye kuongeza mapato ya nchi na sio kwenye kukopa na kufanya mambo mradi tu uonekane umefanya.
Ni vema tena ni haki walahiKwa mara ya kwanza, nimemwona Wachungaji Gwajima, Mwingira na Mzee wa Upako wakiwepo eneo moja. Maombi yao ni faraja kwa Watanzania wapenda Nchi yao na wapenda maendeleo. Mungu atubariki sana Watanzania.
Swali ni je ule wa gas tulioambiwa kuwa ni solution ya nishati TZ umeishia wapi?Mkuu mimi nakuheshimu sana. Lakini naomba at times uwe objective.
Kuna sehemu serikali inafanya madudu na ni haki yetu kuikosoa kama tunavyofanya humu kila siku. Lakini hebu tuwe wakweli kidogo, tunaweza kupinga juhudi za kuwa na umeme wa uhakika kusukuma gurudumu la maendeleo yetu mbele?
Yes, najua kuna nadharia nyingi hapa (mradi huu ni mkubwa, pesa hatuna, tungewekeza kwenye umeme wa maji, umeme wa gesi, upepo na mengine mengi!). Lakini Ukweli ni kwamba tunahitaji umeme. Sijaona juhudi za watangulizi wa jiwe kutupa umeme wa uhakika kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru. Kila kitu ni ujanja ujanja tuu....(refer akina net group, akina Rugemarila nk). Kama huu ndo mradi utatupa umeme, tumsupport JPM!
Tusiwe watu wa kupinga kila kitu..Tunapoteza maana ya neno lenyewe na mwisho wa siku..hata mtu ukipinga kitu cha maana unaonekana ni yule yule.
Umeme ni muhimu kwa maendeleo ya taifa!
wana uzoefu wa kujenga mabwawa?Ivi Bongo hakuna maingineer?
miaka 35 mingi,uliza uganda mpaka sasa mingapi maendeleo kwanza raisi kukaa madarakank sio ishu,ishu maendeleo yaliyokusudiwa uyu akitoka anakuja mwingine anakaa anaondoka kwaiyo ishu sio kukaa maana kiti cha uraisi ni cha milele ila watapokezana tu,tunasahau kwamba tulia uchaguzi unatumia pesa nyingi sana uku tunataka raisi akae mda mfupi tuacheni siasa tufanye maendeleo,kwangu ishu sio raisi kukaa isipokua akae kwa mujibu wa taratibu na sheria km sheria itabadilika tukiona umuhimu wa kutawala hata miaka 100 si kitu atawale tu,lakini raisi uyu anafanya maendeleo kwa yetu na vizazi vyetu na kwa ajili ya tz yenye uchumi imara basi atuna budi kumpa ushirikiano wa kutosha kuliko kufikili tunaitaji raisi mwingine nakwambieni akiondoka uyu uyo ajae atafanya tumkumbuke uyu,tunapoteza watu wazuri kwa fikra finyuAmini usiamini hii ndio itakuwa kiistoria itakavyo someka "raisi aliyekaa miaka mingi madarakani afrika mashariki" nahisi kama si miaka 25 bhasi 35
What a beautful Country, oooh My God.
Kama ulimsikiliza vizuri muheshimiwa katika moja ya hotuba zake alisema gesi ni ya wenyewe walioivumbua kwa minajim kwamba wanafidia fedha zao juu ya mkataba walioingia sasa kwanini asidili na anachokiweza ?Kwani ule umeme wa Gas ya Mtwara umeishia wapi mpaka muda huu?au bado upo njiani!
Sasa unawatetea nini wamisri? Wamejenga wao bwawa gani? Acha upumbavu kabisa wewe!wana uzoefu wa kujenga mabwawa?
wana vifaa vya kujenga mradi mgumu kama huo?
Tofautisha kujenga bwawa la umeme na daraja au barabara ya chalinze msata
Wataalam kutoka nchi gani?Acha kudhani, ujue kuna jopo la wataalamu walikaa na kupitia uafanisi wa hii kampuni katika kujenga mabwawa ndio maana wamewapa kazi, tafuta mkandarasi aliyopewa hii tender, fanya research ya miradi aliyofanya kisha upate wasiwasi...ila siyo kwa kufikiri kwako tuu
Unazitoa mfukoni mwako mpaka zikuume, si tunachangia watanzania wote kwa kulipa kodi.Hizo trillion wanazoenda kuzitumbukiza mm ndo zinaniuma ....dah
Endelea kukwepa kodi sisi walipa kodi tunafurahia hii miradi ..Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.
ACHA KUBAHATISHA MKUUNinawasisi sana kama wamisri wanauwezo Wa kiutaalam Wa kujenga mabwawa. Mradi kama huu wangepewa wenyeuwezo kama Muisrael. Lakini wa wamisri wanaweza fanya Mradi uwe na life span ya miaka 10 ikaitaji ukarabati mkubwa.
Wataalam kutoka nchi gani?
Hilo jopo lililokaa na kuchagua mkandarasiKutoka nchi gani ukiwa na maana ipi?