twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,795
Kutoka bil 8 hadi tri 1.3, sio ukuaji wa mapato hayo mkuu? Kinachofanyika ni kuhamasisha ili tufikie malengo makubwa zaidi ya ukusanyaji ila kuongezeka mapato kunafanyika.Kasi gani wakatu uchumi unavurugika?
Kasi tungeiona kwenye kuongeza mapato ya nchi na sio kwenye kukopa na kufanya mambo mradi tu uonekane umefanya.