Tatizo hujasafiri unaishia lugoba tuSasa unawatetea nini wamisri? Wamejenga wao bwawa gani? Acha upumbavu kabisa wewe!
Nenda Alexandria au Cairo ukaone mto Nile unavyoendesha maisha yao ya kila siku,nyie mto msimbazi mnafanya jalala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hujasafiri unaishia lugoba tuSasa unawatetea nini wamisri? Wamejenga wao bwawa gani? Acha upumbavu kabisa wewe!
ingekuwa chanzo cha maji ni Ziwa Victoria, lazima wengehujumuNinawasisi sana kama wamisri wanauwezo Wa kiutaalam Wa kujenga mabwawa. Mradi kama huu wangepewa wenyeuwezo kama Muisrael. Lakini wa wamisri wanaweza fanya Mradi uwe na life span ya miaka 10 ikaitaji ukarabati mkubwa.
Jopo composition yake ni ipi? Jopo la Magufuli akiwa member wa Jopo? (maana huyu ndiye kila kitu)Acha kudhani, ujue kuna jopo la wataalamu walikaa na kupitia uafanisi wa hii kampuni katika kujenga mabwawa ndio maana wamewapa kazi, tafuta mkandarasi aliyopewa hii tender, fanya research ya miradi aliyofanya kisha upate wasiwasi...ila siyo kwa kufikiri kwako tuu
Wangepewa waitalianokama mzalendo peleka hoja sehemu husika kabla ya muda kuisha na watu kuanza kazi au mwajika hapa si kifichoficho kama ulivyosema
Hawavumi lakini wamo huwa kinaruka liveHivi Kuna vitu vingine vinavyoruhusiwa kua live TBC ukiacha matukio ya Mzee Baba?
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.
Miradi mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)
Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.
Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..
Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka.
Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.
Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.
Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.
Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
Punguza Husuda eneo linalojengwa mradi sio hapo ,View attachment 965550
Baada ya Mradi kuisha
Hiyo miti yote itakuwa imekatwa, na hapo patachimbwa na kujengwa makuta ya masement na mavyuma ya kufua umeme, this view will become extinct henceforth.
I will miss you, The Great Rufiji.
Hilo jopo lililokaa na kuchagua mkandarasi
Ni wapi?Punguza Husuda eneo linalojengwa mradi sio hapo ,
Kwani ule mradi wetu wa umeme wa gas umeishia wapiMkuu mimi nakuheshimu sana. Lakini naomba at times uwe objective.
Kuna sehemu serikali inafanya madudu na ni haki yetu kuikosoa kama tunavyofanya humu kila siku. Lakini hebu tuwe wakweli kidogo, tunaweza kupinga juhudi za kuwa na umeme wa uhakika kusukuma gurudumu la maendeleo yetu mbele?
Yes, najua kuna nadharia nyingi hapa (mradi huu ni mkubwa, pesa hatuna, tungewekeza kwenye umeme wa maji, umeme wa gesi, upepo na mengine mengi!). Lakini Ukweli ni kwamba tunahitaji umeme. Sijaona juhudi za watangulizi wa jiwe kutupa umeme wa uhakika kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru. Kila kitu ni ujanja ujanja tuu....(refer akina net group, akina Rugemarila nk). Kama huu ndo mradi utatupa umeme, tumsupport JPM!
Tusiwe watu wa kupinga kila kitu..Tunapoteza maana ya neno lenyewe na mwisho wa siku..hata mtu ukipinga kitu cha maana unaonekana ni yule yule.
Umeme ni muhimu kwa maendeleo ya taifa!
Tuliaminishwa nini kipindi kile cha ugunduzi na kabla ya hiyo kauli?au yeye alikuwa bado hajazaliwa au pengine hakuwa CCM bali Chauma?Kama ulimsikiliza vizuri muheshimiwa katika moja ya hotuba zake alisema gesi ni ya wenyewe walioivumbua kwa minajim kwamba wanafidia fedha zao juu ya mkataba walioingia sasa kwanini asidili na anachokiweza ?
Ndugu ingekuwa hivyo basi sote ilibidi tuishi kwenye miti kama sokwe na kulala mapangoni ,,,umepewa rasilimali unaogopa kutumia nani atumie rasilimali ulizonazo ? Rufiji inaukubwa kiasi gani mpaka unahofia kujengwa mradi huo? Emu furahia tunaenda kutatuliwa shida yetu ya mda mrefu ya umeme hayo mengine tuyaache ,,,,au wewe unatumia biogas hutaki sisi tunaotumia umeme wa tanesco tufurahi na umeme wa uhakika?? Be positive to positive things, period !View attachment 965550
Baada ya Mradi kuisha
Hiyo miti yote itakuwa imekatwa, na hapo patachimbwa na kujengwa makuta ya masement na mavyuma ya kufua umeme, this view will become extinct henceforth.
I will miss you, The Great Rufiji.
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.
Miradi mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)
Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.
Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..
Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka.
Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.
Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.
Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.
Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
sikubaliani na wewe miradi hii itazidi kusisimua uchumi, ni kiasi kidogo sana ndo kitakachoenda nje, maana cement, nondo na labour zitapatkana hapa kwa kiasi kikubwa.Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.
Miradi mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)
Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.
Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..
Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka.
Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.
Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.
Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.
Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
Watu wanasema mazingira, Tanzania tuna maeneo makubwa na hayatumiki. Tutumie rasilimali zetu coz ni zetu. Inatumia 1% tu ya eneo lote.Ndugu ingekuwa hivyo basi sote ilibidi tuishi kwenye miti kama sokwe na kulala mapangoni ,,,umepewa rasilimali unaogopa kutumia nani atumie rasilimali ulizonazo ? Rufiji inaukubwa kiasi gani mpaka unahofia kujengwa mradi huo? Emu furahia tunaenda kutatuliwa shida yetu ya mda mrefu ya umeme hayo mengine tuyaache ,,,,au wewe unatumia biogas hutaki sisi tunaotumia umeme wa tanesco tufurahi na umeme wa uhakika?? Be positive to positive things, period !
Ili mradi huu uwe na tija unapashwa kuchukua muda mfupi iwezekanavyo kujengwa hadi kukamilika.Tafuta data mradi wa kihansi,ulijengwa wakati nani ni rais, ulichukua muda gani na unaendelea vipi au una changamoto zipi hadi sasa, utaona kuwa hiyo hoja ya miaka 20 haina tija bali kuleta vurugu tu.Ili tupae kiuchumi Anahitaji Aongoze Miaka 20 ili amalizie miradi yake yote, kama ninavompinga jpm na ninapompongeza tuungane mkono makamanda.