IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Hatua kubwa ya kimaendeleo. Waarabu wamepata fursa ya kuwajibu Wayahudi maana na kiarabu kimenukuliwa. Kujua haya uwe na karama ya kuona mbali
 
Ngosha anaacha bonge la legacy. Sisi wa miaka hii kila jambo kwetu ni baya tu lakini kinakuja kizazi kitakachofaidika na mradi huu wa umeme.

Wapo watakaofaidika na wingi na ubora wa viwanda miaka ijayo. Wakati huo sisi wa sasa ambao baadhi yetu tulikuwa na akili timamu tangu enzi za Mwalimu, tutakapokuwa tukiitwa Marehemu fulani.

Magu sio muoga, ni jasiri mwenye kiburi cha kuzaliwa nacho. Wakati mwingine ni hulka inayomkwamisha na wakati mwingine ni hulka yenye neema kwa walio wengi.
Hicho ndicho anachokitafuta kuacha legacy ila kwa gharama kubwa ya maisha ya wananchi wa kawaida.

Anaeweza kutoka madarakani kaacha hiyo miradi lakini mambo mengine yote yakiwa yamevuruguki huku unemployment ikiwa iko juu,maisha yamezidi kuwa magumu,miradi mingine mingi imekwama,deni la Taifa likiwa liko juu,bajeti hazitekelezeki n.k na asipokuwa makini, na dola ataiacha imepanda sana unless anabadilika.
 
Hicho ndicho anachokitafuta kuacha legacy ila kwa gharama kubwa ya maisha ya wananchi wa kawaida.

Anaeweza kutoka madarakani kaacha hiyo miradi lakini mambo mengine yote yakiwa yamevuruguki huku unemployment ikiwa iko juu,maisha yamezidi kuwa magumu,miradi mingine mingi imekwama,deni la Taifa likiwa liko juu,bajeti hazitekelezeki n.k na asipokuwa makini, na dola ataiacha imepanda sana unless anabadilika.
Mkuu Salary Slip, hakuna nchi ambayo haina unemployment. Hollywood Marekani kuna mamilionea wanaoishi kwa kucheza sinema tu lakini mahali hapo hapo kuna ombaomba wanaolala ndani ya maboksi.

Huwezi kukwepa uwepo wa umeme mwingi halafu ukadai unatafuta maendeleo. Gharama hazikwepeki, unajua ni kiasi gani cha fedha kilitumika kujenga ile tower ya Paris?. Unajua ni kiasi gani cha watalii wanaiingizia fedha Ufaransa kupitia tower ile?.

Acheni uoga, ukiyavulia maji ni lazima uyaoge. Muoga hufa masikini, kumbuka juu ya ukweli huo.
 
Ac
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.

Miradi mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)

Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.

Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..

Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka.

Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.

Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.

Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.


Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
Acha kunung'unika kaza buti twende mbele
 
Ubaya wa raia wa nchi ya kusadikika hawajui wanachokitaka, hawaelewi vipaumbele vyao... "mradi wa stiglers gorge wa nini?? Mara ohoo ndege za nini?? Mara eheee SGR ya faida gani?? Waulize mnataka serikali ifanye nini?? Hawana majibu yenye hoja. Wanasubiri DADA MANGE au TUNDU LISSU aseme nao wadandie hoja hapo hapo, wasadikia ifike mahala ubongo tuufikirishe kabla ya kuongea, panapo kupongeza tupongeze, panapo kukosoa tukosoe kwa hoja pia. Hutaki SGR serikali ifanye nini?? Hutaki ST GORGE serikali ifanye nini?? Ujuaji wa mitandaoni hautatupeleka popote
Thumb up brother
 
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.

Miradi mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)

Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.

Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..

Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka.

Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.

Serikali hii ina majukumu mengi zaidi ya kujenga miundombinu na hazina yetu ni hiyo hiyo moja na ili tusonge mbele, ni lazima tutoe kipaumbele na kwa sekta nyingine maana zinategemeana.

Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.


Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
Tunakamuliwa kodi kwenye kila kitu lipa kodi acha maneno
 
Where Mwenyezi Mungu ibariki nchi yetu kwa hatua inayo ifikia leo.
Nishati ya umeme ya uhakika ndio itakayo iwezesha nchi yetu kupaa kiuchumi , hongera kwa serikali kufanya maamuzi ya dhati kuanza mradi huu
 
Haya mawazo yako ni kinyume na katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania

Kinachotakiwa ni kutekeleza yale yatakayowezekana kwa kipindi ambacho wananchi watampa yale yatakayoshindikana yatasubiri Rais anayefuata
Kama mawazo yake ww unachukia nn sasa
 
Hongera mh rais,kasema pesa hipo hata wakitaka advance payment ya 50% Leo hii wanaweza kupata.
Wakimaliza tu masuala ya kibenk wanaweza kupata.
Go go go go go Mh.Rais
 
Hongera mh rais,kasema pesa hipo hata wakitaka advance payment ya 50% Leo hii wanaweza kupata.
Wakimaliza tu masuala ya kibenk wanaweza kupata.
Go go go go go Mh.Rais
Acha kupotosha...
 
View attachment 965550
Baada ya Mradi kuisha
Hiyo miti yote itakuwa imekatwa, na hapo patachimbwa na kujengwa makuta ya masement na mavyuma ya kufua umeme, this view will become extinct henceforth.

I will miss you, The Great Rufiji.
Hili ni eneo la Delta ya Mto Rufiji, ni mbali na eneo la Mradi. Yaani umbali wa bonde hili ulionalo na eneo la Mradi ni sawa na kutoka Chalinze hadi Morogoro, so havihusiani kabisa mzee.
 
Gas sio yetu ni ya wenyewe wenye mitambo yao wacha wabunye mbaka mkataba uishe sisi sote tumeshakuwa wazee
Mwenye maswali kuhusu gas njia nyeupe akwende Msoga kule kuna majibu mubashara
Sisi tunakwenda na bwawa letu ,maji yetu na fedha zetu
Megawati 2000 za kwetu..
Nako muda ukifika tutasema tena suala la bwawa nendeni mkaulize chato
 
anasain yeye au katibu mkuu ujenzi,

Mabwawa ya kidatu,mtera yamekauka,mabadiliko ya tabia nchi,bado mtu anaamini umeme wa maji,umeme wa gesi unatumika asilimia kumi,unakopa tena kujenga mradi mwingine
Umeme unaozalishwa na maji ni gharama nafuu sana ...jukumu letu ni kutunza mazingira... Ethiopia wanajenga bwawa kubwa zaidi yetu vyanzo vikubwa ni mto nile...sisi vipo vingi tumuunge mkono kwani maendeleo ni yetu sote
 
Hongera mh rais,kasema pesa hipo hata wakitaka advance payment ya 50% Leo hii wanaweza kupata.
Wakimaliza tu masuala ya kibenk wanaweza kupata.
Go go go go go Mh.Rais
Naona kakingereza kanakupiga chenga kidogo Mkuu!

Kasema 15% na sio 50%!

Nadhani umeshindwa kutofautisha kimaneno kati ya fifteen percent na fifty percent!
 
Gas sio yetu ni ya wenyewe wenye mitambo yao wacha wabunye mbaka mkataba uishe sisi sote tumeshakuwa wazee
Mwenye maswali kuhusu gas njia nyeupe akwende Msoga kule kuna majibu mubashara
Sisi tunakwenda na bwawa letu ,maji yetu na fedha zetu
Megawati 2000 za kwetu..
Tena wa misri wanajenga ajira na watu wanazunguka watanufaika tofauti na wale Masharki ya mbali...miradi ming wanafanya ila ajira mbovu na hata watu wanazunguka mrad wanaishia hakuna kulalamika
 
Back
Top Bottom