Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Kamwambie wewe, kama amegoma fanyeni maandamano, kama huyo Magufuli ana nguvu ya kuitikisa dola
Nenda kamwambie msajili wa vyama vya siasa atoe kibali; mbona chama kipo kimenyimwa tu kibali na onyo juu kisijekusikika tena.
Jiwe alivyoanzisha hiyo miradi alikuja na porojo zake ooh hakuna wa kutekeleza na blaa blaa kibao..Mama Samia ni noma sana, nchi itakwenda kasi bila kelele
Hauoni Ikulu imekamilika? Bwawa nalo walitudanganya kuwa lingeshakuwa limekamilika kumbe vitu kibao vilisimama mama Samia ndiyo ameenda kulikwamua.Huyu wa Sasa kazi yake ni kuita watu stupid.
Hamna analoweza kufanya aisee.
We una falsafa gani mkuuNdugu yangu Maxence Melo najua wewe una falsafa za kibeberu ndiyo maana ulikuwa humpendi JPM, lakini kupitia fact check tunaomba mtafute ukweli kuhusiana na mjenzi wa ikulu ya Chamwino na mkishaupata mtuletee hapa ili jamii isipotoshwe.
Asante.
Duh aise hii hatari watu mpaka mnataka kushikana mashatiUDOM amejenga mamako we ngedere, kwanza Magufuli hakujenga hiyo ikulu alianzisha tu ujenzi. Halafu JK usimfananishe na yule mshamba wenu. Ikulu 2 za kazi gani km una akili. JK ana akili sana amejenga mtandao mkubwa wa barabara nchi hii, amekujengea chuo kikuuu kikubwa kabisa Afrika na Kati. Ujenzi ulianza Machi 2020 Magufuli alikufa Machi 2021. Huyo Magufuli wenu aliijengea kaburini? Hata mamako atamjengea nyumba endelea kumwaza
We kama nani.Iwe mwisho kuwa na Mzazibari atayetawala huku Tanganyika.
Ni watu wenye chuki sana na ni washirikina mno.
Ukiacha zile habari za kuwakumbatia Mwugulu na January Makamba, huku kwingine mama Samia yupo vyema sana.Mjinga hata huelewi unachoongea..
Jiwe alishindwa hata kumalizia jengo la nssf posta vipi saiizi si unaona mjini kumechangamka?
Kazi nzuri ya SSH,kula vyuma vya NHC Chamwino Dodoma View attachment 2628775View attachment 2628776View attachment 2628777View attachment 2628778View attachment 2628779View attachment 2628780View attachment 2628781View attachment 2628782
SawaVASCO DAGAMA a.k.a CHEKIBOBU KIKWETE hajafanya lolote lile nchi hii zaidi ya kubembea ulaya.
Unaweweseka, hoja ni ikulu ya chamwino Zuhura Yunus kaisimulia bila kumtaja Dikteta Magufuli. Wewe sukumagang unakuja na hoja ya Mbowe kuiuwa CHADEMA how?Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.
Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Amekuzidi kwa kila kitu na ht sasa ana ushawishiCHEKIBOBU KIKWETE ni tapeli yule, anakenua tu mijino nje na KUDOEA maendeleo ya nchi bila kuchangia lolote.
Alitumia miaka kumi ya Urais wake kupiga mbizi angani kama Tiara.
Baadaye akawa anabembea ulaya, kisha akastaafu na kurudi msoga kuendeleza umbea.
Mwisho wa haya yote ni Nini? Ndipo utajuwa huko Serengeti Kuna unabii wa kutisha. Simba mwenye pori lake amevamiwa na Simba madume wakaondoa ufalme wake. Usisahau code Faru John...Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Wakumbushe.Kipindi dikteta Magufuli anazindua daraja la Kigamboni unakumbuka alimtaja JK hata kwa bahati mbaya?
Unajaribu kupambana na watu waliokuzidi kwa kila kitu.MAUSHUNGI ni dhaifu, hawezi kazi ya kiume ile. Amedebweda ndio maana mafisadi yanamshika makalio kiulaini.
Akaamua ajitutumue kumtaja mwamba wa chato kinyonge kwa aibu.
Anadanganywa na akina CHEKIBOBU KIKWETE atapotea. Wale ni FAILURES, VASCO DAGAMAS hawawezi kumsaidia zaidi ya kumpigisha umbea.
Trump alikuwa rais hivihivi we subiri utaona wakijichanganya Lissu Ikulu 2025Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.
Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.
Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.
CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Never!MAUSHUNGI akitaka afanikiwe aachane na akina CHEKIBOBU KIKWETE. She will do wonders.
Akina CHEKIBOBU KIKWETE ni FAILURES walitumia urais wao kuzurura angani na kukwapua tembo.
Yes, Maushungi is doing good so far. Ajira na miradi mbalimbali, EXCELLENT.
Lakini lile GENGE CHAFU la akina CHEKIBOBU KIKWETE linastahili kupumzishwa ili MAUSHUNGI afanye vyema zaidi.
Hoja kubwa ni sio kuwagawa viongozi Ila kukumbuka waliofanya,Kusema Samia amefanya hili au jpm kafanya lile ni hakili za kitoto hoja za kitoto,maada za kitoto
Kwani jpm hakutumia pesa zake za mfukoni kuanzisha hili au li le no,
viongozi woote tangu Uhuru fake wamekuwa wakisimamia Mari,na Kodi zetu kuanzisha miradi mbalimbali hapa Tanzania
Na Jambo lingine nikwamba Samia ni mtanzania na jpm ni mtanzania wote wanatumikia au wamewahi kutumikia cheo kimoja Cha u raisi
Hivyo basi Kama jpm alitenda mema ni jema Kwani alikuwa mtanzania na kama Samia amemalizia alicho anzisha jpm tumpongeze pia kwa kujua na kuitambua thamani ya miradi ya jpm
Kwahakili zako unaddhani ikuru hiyo imemaliziwa kwa mzimu wa jpm?
pesa za ujenzi zili tolewa kwa sahihi ya mzimu wa jpm?
Tuache kushabikia mambo ya siyo na maana tuache kuwa gawanya viongozi wetu niushabiki wa kijinga
Je! Samia ni mzungu?
Je! Jpm ni mchina?
Je! Hawa Wote hawa ni raia wa inchigani? USA,JAMAICA, BRAZIL AU TZ???
Nahata Kama tutaenda kwa mienendo hiyo basi tusememe wazo la ikuru hiyo kujengwa Lili anzishwa na baba wa taifa JK
likafanyiwa kazi na jpm lakini aliishia njiani baada ya umauti kumfika
kisha lika maliziwa na aliye kuwa makamu wake na baadae kuja kuwa raisi mh ssh
sio hili amefanya huyu au yule tunawa vunja mioyo viongozi wetu
Hata lile bwawa la nyelele linaitwa hivyo kwa sababu Wazo Lili zaliwa kwenye hakili ya nyelele
sasa je tumdharau jk kuanzisha mradi huo nakumsifia jpm kuwa ndiye aliye Jenga?
Au tumdharau jpm kwa kulianzisha kulijenga Kisha akaishia njiani na kumdharau Samia kwa kulimalizia.?
Kwakifupi viongozi wetu wote wamefanya kazi kubwa ya kusimamia Kodi zetu japo wanatupigia kisisiasa
Kama baba wakambo aliye uza gunia 300 za mahindi kwenye shamba la family kwa bei ya laki kila gunia
Kisha akatununulia yebo mpya na sale za shule zenye thamani ya 50000/=tsh kwa pamoja
Kisha tukamshukuru nakumpongeza kumbe kwa bashasha kumbe kuna hera nyingi kabaki nazo anaenda kulia Bata na maraya bar
Huku nyumba inavuja,umeme hakuna,maji hakuna,nyumba ya nyasi,
But any way
tunapaswa kuwapongeza wote kwa kazi kubwa mkuu👣👣
Zuhura Yunus unamuonea.Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Kwan chadema na ccm si wameungana ili na wao wapate wabungeSukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.
Mnapigwa pote pote
Kama baba yako alivyokuwa mchawi amekufa kibuduMagufuli lile liuwaji , jambazi na jizi la kura?