Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Kutesa kwa zamu, kaeni kwa kutulia.
Kama wakati wenu mlivyokua mkiwatukana viongozi waliopita na mkafurahia, now day ni zamu yenu kuminywa kagare
 


Nenda kamwambie msajili wa vyama vya siasa atoe kibali; mbona chama kipo kimenyimwa tu kibali na onyo juu kisijekusikika tena.

Kamwambie wewe, kama amegoma fanyeni maandamano, kama huyo Magufuli ana nguvu ya kuitikisa dola

Kupambana na CCM ni kupambana na dola
 
Mama Samia ni noma sana, nchi itakwenda kasi bila kelele
Jiwe alivyoanzisha hiyo miradi alikuja na porojo zake ooh hakuna wa kutekeleza na blaa blaa kibao..

Miradi Ile Ile ilibidi Jiwe asimamishe shughuli kwenye sekta zingine Ili mambo yaende..

Samia is doing all that Kwa speed na sekta zote za Uchumi zimefufuliwa ikiwemo Ajira.

Chezea Samia wewe
 
Huyu wa Sasa kazi yake ni kuita watu stupid.

Hamna analoweza kufanya aisee.
Hauoni Ikulu imekamilika? Bwawa nalo walitudanganya kuwa lingeshakuwa limekamilika kumbe vitu kibao vilisimama mama Samia ndiyo ameenda kulikwamua.
SGR nayo kumbe ilikua imeshaanza kufa, mama Samia ndiyo ameiokoa.

Hela za Plea bargaining kumbe zilishatoroshewa China wakati hatujui, sisi tunaambiwa ndiyo hela zetu za ndani zinajenga nchi. Kumbe wameshazipiga, mama ndiyo anapambana azirudishe.

Bado uchaguzi wetu wa 2020 ulivyoharibiwa na kuivuruga nchi. Sasa hivi mama ndiyo anapambana kuwarudisha watanzania wawwze kukaa pamoja, otherwise nchi ilikua imeshapasuliwa kitambo.
Accounts za watu zikafungwa hovyo na pesa kuchukuliwa, mama ameweza kuwarudishia.

Makinikio yalizuiwa kwa mbwembwe, lakini aliyeyazuia akayaachia kimyakimya kigiza kilipoingia.

Watu wakaondolewa kazini kikatili na mafao yao kuzuiwa, mama sasa hivi yupo kutibu majeraha.

Hivi nyie hebu tuambiane hapa, tuwe wa kweli kabisa. Yule Kamaa alifanikisha kipi kwenye nchi hii?
 
Ndugu yangu Maxence Melo najua wewe una falsafa za kibeberu ndiyo maana ulikuwa humpendi JPM, lakini kupitia fact check tunaomba mtafute ukweli kuhusiana na mjenzi wa ikulu ya Chamwino na mkishaupata mtuletee hapa ili jamii isipotoshwe.

Asante.
We una falsafa gani mkuu

Ova
 
UDOM amejenga mamako we ngedere, kwanza Magufuli hakujenga hiyo ikulu alianzisha tu ujenzi. Halafu JK usimfananishe na yule mshamba wenu. Ikulu 2 za kazi gani km una akili. JK ana akili sana amejenga mtandao mkubwa wa barabara nchi hii, amekujengea chuo kikuuu kikubwa kabisa Afrika na Kati. Ujenzi ulianza Machi 2020 Magufuli alikufa Machi 2021. Huyo Magufuli wenu aliijengea kaburini? Hata mamako atamjengea nyumba endelea kumwaza
Duh aise hii hatari watu mpaka mnataka kushikana mashati
Humu, taratibu wazee

Ova
 
Iwe mwisho kuwa na Mzazibari atayetawala huku Tanganyika.

Ni watu wenye chuki sana na ni washirikina mno.
We kama nani.
Rudi kwenu Burundi tuachie nchi yetu wenyewe ss hv tuna amani tele
 
Mjinga hata huelewi unachoongea..

Jiwe alishindwa hata kumalizia jengo la nssf posta vipi saiizi si unaona mjini kumechangamka?

Kazi nzuri ya SSH,kula vyuma vya NHC Chamwino Dodoma View attachment 2628775View attachment 2628776View attachment 2628777View attachment 2628778View attachment 2628779View attachment 2628780View attachment 2628781View attachment 2628782
Ukiacha zile habari za kuwakumbatia Mwugulu na January Makamba, huku kwingine mama Samia yupo vyema sana.
Kuna mtu aliingia na kuziulia mbali Lindi na Mtwara mpaka mikoa ikaota majani hadi barabarani na kuanzisha miradi ya kujenga kwao.
Yule jamaa hajawahi kuwa na Spirit ya kuwa na umoja kama nchi.
Aliimega Chato kutoka Kagera akapambana kuihamishia Mwanza, so aliongoza kuipunguza Kagera na kuiongeza Mwanza.

Akaanzisha mapambano mapya ya kuipunguza Mwanza na kuiinua Geita kuwa mkoa. Chato iliyoanza safari yake kutokea sijui kijiji sijui kata, ikapanda hadhi na kuwa jimbo na Wilaya.

Baadaye akaanza harakati za kuipunguza Geita kwa kuimega Chato kutoka Geita na kuifanya Chato kuwa mkoa.

Angefanikiwa hili ilikuwa aanzishe mchakato wa kanda ya ziwa kupiga kura ya Kujitenga kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuanzisha The Republic of Chato
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Unaweweseka, hoja ni ikulu ya chamwino Zuhura Yunus kaisimulia bila kumtaja Dikteta Magufuli. Wewe sukumagang unakuja na hoja ya Mbowe kuiuwa CHADEMA how?

Jadili hoja mezani halafu leta utopolo wako kwa takwimu au tafiti, kwamba toka Mbowe awe kiongozi au majira hii CHADEMA imekufa na utuonyeshe vigezo, otherwise it's another sukumagang pumbavu
 
CHEKIBOBU KIKWETE ni tapeli yule, anakenua tu mijino nje na KUDOEA maendeleo ya nchi bila kuchangia lolote.

Alitumia miaka kumi ya Urais wake kupiga mbizi angani kama Tiara.

Baadaye akawa anabembea ulaya, kisha akastaafu na kurudi msoga kuendeleza umbea.
Amekuzidi kwa kila kitu na ht sasa ana ushawishi
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Mwisho wa haya yote ni Nini? Ndipo utajuwa huko Serengeti Kuna unabii wa kutisha. Simba mwenye pori lake amevamiwa na Simba madume wakaondoa ufalme wake. Usisahau code Faru John...
 
MAUSHUNGI ni dhaifu, hawezi kazi ya kiume ile. Amedebweda ndio maana mafisadi yanamshika makalio kiulaini.

Akaamua ajitutumue kumtaja mwamba wa chato kinyonge kwa aibu.

Anadanganywa na akina CHEKIBOBU KIKWETE atapotea. Wale ni FAILURES, VASCO DAGAMAS hawawezi kumsaidia zaidi ya kumpigisha umbea.
Unajaribu kupambana na watu waliokuzidi kwa kila kitu.
Wapo juu kuliko nyie Sukuma Gang wote
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Trump alikuwa rais hivihivi we subiri utaona wakijichanganya Lissu Ikulu 2025

Shida mbowe ni undercover kama ilivyokuwa kwa Lipumba, Mrema, Zitto,cheyo na Seif.

Lissu ndiye mpinzani wa kweli nchi hii ndio maana wakitaka kum eliminate!!!
 
MAUSHUNGI akitaka afanikiwe aachane na akina CHEKIBOBU KIKWETE. She will do wonders.

Akina CHEKIBOBU KIKWETE ni FAILURES walitumia urais wao kuzurura angani na kukwapua tembo.

Yes, Maushungi is doing good so far. Ajira na miradi mbalimbali, EXCELLENT.

Lakini lile GENGE CHAFU la akina CHEKIBOBU KIKWETE linastahili kupumzishwa ili MAUSHUNGI afanye vyema zaidi.
Never!
Hawezi kuacha kumsikiliza JK.
Hiyo ilikuwa tabia ya lile shetani lenu la Chato kudharau watangulizi wake
 
Kusema Samia amefanya hili au jpm kafanya lile ni hakili za kitoto hoja za kitoto,maada za kitoto

Kwani jpm hakutumia pesa zake za mfukoni kuanzisha hili au li le no,

viongozi woote tangu Uhuru fake wamekuwa wakisimamia Mari,na Kodi zetu kuanzisha miradi mbalimbali hapa Tanzania

Na Jambo lingine nikwamba Samia ni mtanzania na jpm ni mtanzania wote wanatumikia au wamewahi kutumikia cheo kimoja Cha u raisi

Hivyo basi Kama jpm alitenda mema ni jema Kwani alikuwa mtanzania na kama Samia amemalizia alicho anzisha jpm tumpongeze pia kwa kujua na kuitambua thamani ya miradi ya jpm

Kwahakili zako unaddhani ikuru hiyo imemaliziwa kwa mzimu wa jpm?

pesa za ujenzi zili tolewa kwa sahihi ya mzimu wa jpm?

Tuache kushabikia mambo ya siyo na maana tuache kuwa gawanya viongozi wetu niushabiki wa kijinga

Je! Samia ni mzungu?
Je! Jpm ni mchina?

Je! Hawa Wote hawa ni raia wa inchigani? USA,JAMAICA, BRAZIL AU TZ???

Nahata Kama tutaenda kwa mienendo hiyo basi tusememe wazo la ikuru hiyo kujengwa Lili anzishwa na baba wa taifa JK

likafanyiwa kazi na jpm lakini aliishia njiani baada ya umauti kumfika

kisha lika maliziwa na aliye kuwa makamu wake na baadae kuja kuwa raisi mh ssh

sio hili amefanya huyu au yule tunawa vunja mioyo viongozi wetu
Hata lile bwawa la nyelele linaitwa hivyo kwa sababu Wazo Lili zaliwa kwenye hakili ya nyelele

sasa je tumdharau jk kuanzisha mradi huo nakumsifia jpm kuwa ndiye aliye Jenga?

Au tumdharau jpm kwa kulianzisha kulijenga Kisha akaishia njiani na kumdharau Samia kwa kulimalizia.?

Kwakifupi viongozi wetu wote wamefanya kazi kubwa ya kusimamia Kodi zetu japo wanatupigia kisisiasa

Kama baba wakambo aliye uza gunia 300 za mahindi kwenye shamba la family kwa bei ya laki kila gunia

Kisha akatununulia yebo mpya na sale za shule zenye thamani ya 50000/=tsh kwa pamoja

Kisha tukamshukuru nakumpongeza kumbe kwa bashasha kumbe kuna hera nyingi kabaki nazo anaenda kulia Bata na maraya bar

Huku nyumba inavuja,umeme hakuna,maji hakuna,nyumba ya nyasi,

But any way
tunapaswa kuwapongeza wote kwa kazi kubwa mkuu👣👣
Hoja kubwa ni sio kuwagawa viongozi Ila kukumbuka waliofanya,
Kwani ukimtaja kuwa alianza Nyerere akaja mwingi akaja mkapa akaja kikwete halafu akaja magufuli na samia akamalizia kuna shida gani au unapungukiwa na nini?
Usipomtaja haupungukiwi Wala kuongezeka kitu Ila wenye akili watajiuLIZA.
Kuendeleza uadui kwa mtu ambaye hawezi kukujibu kashalala ni matumizi mabaya ya ubongo,la sivyo unaamua kusema hili jengo wazo limeanza na baba wa taifa halafu Marais waliofuata wakifanya kadri ya nafasi zao na aliyeko madarakani kamalizia
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Zuhura Yunus unamuonea.
Hata wewe ungekuwa alipo usingefanya tofauti
 
Sukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.

Mnapigwa pote pote
Kwan chadema na ccm si wameungana ili na wao wapate wabunge
 
Back
Top Bottom