Huyo huyo baba yako alietoa shawahawa zake kuzaa toto tahira kama wewe sijui anaitwa nani huyo baba yako mzoga unaonuka

Hiyo ndiyo tabia ya mungu wenu magufuli sikulaumu, lakini ujuwe keshakufa na harudi tena
 

Usidanganye labda hukuwepo wakati wa Nyerere . Kwa taarifa yako Matrillioni yameliwa wakati wa Nyerere katika jitihada zake za kujenga makao makuu Dodoma , sababu moja iliyoifanya nchi hii kuwa masikini ni kuufanya mji mkuu kuwa Dodoma. Kulikuwepo na CDA na ma mashirika mengine yaliyokuwa yakitumiwa kupiga pesa pale
 
Ndiyo maana tuliacha Mtanzania wa kwanza kugundua mlima Kilimanjaro ambaye ni mungu wa kabila la Wachagga anayeitwa Ruwa anayeishi kwenye mapango ya mlima huo na tukaridhia kuwa wajinga kwa kuaminishwa kwamba watu wa kwanza kabisa kugundua mlima huo ni Wamissionari Johannes Rebmann na Johann Krapf.

Pia eti mpelelezi Johann Ludwig ndiye aligundua mlima Kenya badala ya mungu wa kabila la Wakikuyu anayeitwa Mumbi wa Muthiga anayeishi kwenye mapango ya mlima huo.

Tumeendelea kuaminishwa kuwa mpelelezi John Hanning Speke eti ndiye aligundua Ziwa Victoria wakati watu weusi walitumia hilo ziwa kabla ya mawakala wa ukoloni kuingia Afrika. Wajaluo walilipa hilo ziwa jina Nam-Lolwe walipolifikia katikati ya mwaka 1500 na mwanzo wa mwaka 1600, nao pia walikuta watu wapo hapo tayari.

Magufuli tuliona akipinga historia potofu za namna hii kwa kumzawadia ela Tsh.100 ml mzee Jumanne Ngoma aliyegundua Tanzanite 1967 na kuagiza aingizwe kwenye orodha ya mashujaa wa taifa.

Tusipoongozwa na utashi wa umakini na ukweli (tukaacha mihemko ya kisiasa) iko siku atazuka mtawala mpya (tupo au hatupo) atang'oa mawe yote ya msingi kwenye miradi yote mikubwa ya kimkakati ya maendeleo na kuyaandika upya kwa usahihi wa historia yake.

Tumeona watawala wakisahihisha historia kwa kubadili majina ya nchi mfano:-

1. Zaire kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

2. Ufalme wa Swaziland kuwa Ufalme wa Eswatini.

Lisemwalo lipo...

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Swali:

Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?​


Jibu:

Julius Kambarage Nyerere.
 
Mi naona wamefanya kusudi kuwatoa watanzania kwenye joto la uozo uliopo TRA + na mamlaka simamizi za juu na jinsi wanavyowaonea wafanya biashara ili tuanze kudiscuss issue zisizo na maana kwa sasa.
 
Mambo mengine msipotishe tu weka clip aliotaja hao unaosemana hata magu asipotajwa kazi aliofanya inafahamika
 
Nyie wapuuzi mna nongwa za kipumbavu sana. Hayo mambo ya credit yanatoka wapi?
Mwendo kasi ilianzishwa na JK ulishawahi sikia kikwete akilalamika kwamba hakusifiwa siku mradi unafunguliwa?
Daraja la mkapa, udom nk.
Mbona watu washafanya mambo mengi tyuu
 
Apate credit Kwa lipi,kwani wamejenga Kwa Hela Yao ya urithi? Hivyo ni Kodi ya watanzania,ni wasimamizi tu!
 
Nyie wapuuzi mna nongwa za kipumbavu sana. Hayo mambo ya credit yanatoka wapi?
Mwendo kasi ilianzishwa na JK ulishawahi sikia kikwete akilalamika kwamba hakusifiwa siku mradi unafunguliwa?
Daraja la mkapa, udom nk.
Mbona watu washafanya mambo mengi tyuu
 
Kama baba yako alivyoutesa ukoo wenu ndio maana sasa hivi wana amani
Yaani natamani kama Mungu asingeliuwa mapema lile shetani lenu la Chato. Angelipoozesha mwili tu like linaona live tunavyolinanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…