Kati ya baba na mama yako mzazi credit tumpe nani?
 
Lowassa alishawahi kusema usifanye urafiki na mtu wa pwani. Ni wanafiki sana na J.K.M anelithibisha sana hili kwa Lowasa na hata kwa Magufuli.
 
Usisubir mgonjwa awe marehem ndo ukumbuke hospital , wanachokifanya kinaondoa morale ya waliopo kwenye system kujituma maana wanaamin ukwel unaeza fichwa na wachache so hizi attitude za hawa wanaopindsha ukwel kwa niaba ya mioyo yao ni sumu kwa wanaobakia ktk system maana watapambania matumbo yao wakiamin hakuna legacy hapa tz , angalia USA hata uchukiwe ila hakuna mtu anaeza zuia sifa zako kutangazwa , hicho ndo tunadai watangaze ukwel sio kisa kumsifia JPM ila iwape morale wale wanaofikiria kuiba wajiulize na wao watafanya nn ili tuwakumbuke TUACHE AKILI ZA KIMSUKULE HLF BAADAE TUNASINGIZIA MABEBERU WKT TUNASHUSHANA MORALE WENYEWE , KILA MTU ANAPENDA JINA LAKE LIBAKIE SASA TUTAAMINIJE KAMA TUNAWAONA WALIOTANGULIWA HAWAPEW SIFA ZAO ?
 
Hiyo ndiyo tabia ya mungu wenu magufuli sikulaumu, lakini ujuwe keshakufa na harudi tena
Ndio hata baba yako alishakufa na ni mzoga ananuka huko kaburini
 
Ndio imejengwa na Samia kwa sababu yeye ndo ameikamilisha kuijenga.

Kwa hata huyo JPM si alikuta miradi iliyo anzishwa na kikwete yeye akaja kuimalizia akaita ni ya kwake?
Mzee chuki yako haina faida kwa taifa , unaichukia WEST eti inakufanya maskin wkt unaweka chuki mbele kwenye vitu vdg tu , Unaezaj mtaja Kikwete , ukamuacha aliwafukuza wabunge dar waende dodoma ?unaezaj mtaja kikwete alikuwa anaish magogoni na kumsahau alieanzisha safari ya kuhamia dodoma ? ifike muda mjue hzi chuki zenu ndio zinafanya viongoz wajipimie maana wanaona mijitu yenyew haina shukran bora wale wasepe tu mtajijua wenyew
 
Sukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.

Mnapigwa pote pote
Ukabila mnaanzisha kimya kimya , mm ni mfipa sijui na wasukuma naingiaje ila nakemea udanganyif huo , hii nchi vichaa na matomaso mpo wengi , mtu anaeza badili ukwel kisa kujifuraisha ww ndo unamshabikia , subir yakukute ndo utaelewa kwann wenzio wanakemea .Ukwel unajenga morale hata kwa wengine kufanya jambo wakiamin watakumbukwa ila kwa hii tutegemee wezi wengi sana , hata hao wanaomdanganya SSH washaona hapa ni kupiga na kusepa nchi haina fadhira hii , rais mwehu na wananchi wake wehu kutwa kusema mama anaupiga mwingi
 
Ikulu ya chamwino anaestahili pewa heshima ni mwenye nchi wa Jmt maana pesa zao ndo zimejenga ila kama yupo kiongozi ametoa pesa yake mfukoni kujenga basi apewe sifa
 
Mnateseka nyie misukule.

Kwani nyie wafuasi wake walinda legacy mkimtaja haitoshi mpk mlazimishie na wengine kumtaja!?
Ndio dunia inatuita nyani , huwa waafrika hatuoni athari ya tunayoyafanya , bara la afrika linauawa na waafrika wenyew , ona sasa hv watu hawataki kumpongeza mtu alionesha nia ya dhati kwa vitendo na akahamia dodoma kbs , ila leo wanapeana sifa za kijnga , ndio maana hata huyo SSH hajali lolote kuhusu watz maana anaona akili zenu hamna fadhira , na mm nasema SSH acha nchi inyonywe tu maana watz wenyew hawajui wanataka nn , swala dogo la kumpa mtu heshima anastahiri tena ingekuwa motivation kwa vizaz vya sasa hata baadae kupambana kuipigania nchi ili waache legacy
 
Kunywa dawa ya panya ukalitaje wewe lile liuwaji huko kuzimu liliko [emoji12][emoji12][emoji12]
Sion cha kufurahisha hapo , huez ikomoa maiti ila unaua spirit ya upambanaj kwa waliobakia , maana hakuna kichaa kwamba ukidanganya hatoelewa umepindisha ukwel , kinachofuta ni watu kujali matumbo yao
 
Yaani natamani kama Mungu asingeliuwa mapema lile shetani lenu la Chato. Angelipoozesha mwili tu like linaona live tunavyolinanga
🤣🤣🤣 kwani wewe hilo baba lako ulitamani life mapema?
 
Watanzania hawana shukrani! Hata Kiongozi wetu Raisi mustaafu Kikwete, katika hotuba yake wakati wa kufungua Ikulu - hakumtaja Dr Magufuli kwa jina lake! Aliishia kusema "awamu ya tano". Sijui anaogopa nini!
 
Lile liuwaji lilikuwa likiwaibia watu pesa bank kutaka kujenga Chato Airport
Leta ushahidi , mlimuua Ghadaf mkimuita ni dikteta leo mnajuta , lin mtaanza kuish maisha kwa kutumia facts na sio umbeya na udaku ?
 
Wako kwenye mateso, wana wakati mgumu sana mana lile shetani halirudi tena nao hawaamini
Mkiitwa nyan msinune , huwa hamuoni mbele muda wote vichwa vinaangalia nyuma , hii kitu inaenda kuua morali ya kujitoa kwa watumishi wetu wa umma , malipo ya ujinga ni aibu , leo mnacheka ila kesho mtanuna , kiongoz mjinga haez kukufuraisha kila siku , siku tunazihesabu mtarudi kweny vitabu kuweka sikukuu ya huyo marehem , kiongoz bora haez futwa kwenye historia milele , walijaribu kumficha Mandela ila baadae walimpa haki yake pia watajaribu sana ila technology inaacha kumbukumb hata wajukuu wako watakuja kushangaa kutokea kwa babu mwehu , kwamba aliipinga sahihi kwake na kuwafurahia mashetani bila sababu za msingi kisa aliruhusiwa kuwa mwizi watasema kwa aibu kumbe babu alipenda wizi. KIONGOZ MJINGA HAEZI KUKUFURAHISH KILA SIKU , USIWE TOMASO JITOE GIZANI NJOO HADHARANI UONE TUNAPOELEKEA TOFAUTI NA MWELEKEO WA DUNIA YA KILEO , SPIKA AKIONESHA MSIMAMO WAKE JUU YA MIKOPO MUHIMILI WA SERIKALI UNAMSHAMBULIA , MTU ANAEZA MSHAMBULIA SPIKA BUNGE JIULIZE WW KIGARAGOSI UPO SALAMA KWELI ?
 
Ikulu ya chamwino anaestahili pewa heshima ni mwenye nchi wa Jmt maana pesa zao ndo zimejenga ila kama yupo kiongozi ametoa pesa yake mfukoni kujenga basi apewe sifa
Miaka yote hiyo tangu 1977 kwann pesa zenu hazikufanya kazi hiyo
 
Haka kadada kalipokuwa BBC kalikuwa kanaandaa vipindi vya kuichafua Serikali ya awamu ya tano chini ya JPM.
Hakafai hata kwa bure kamtu haka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…