Sukuma Gang mnapata taabu sana. Hamjui mpambane na nani. Mpambane na CCM/Samia au Chadema.

Mnapigwa pote pote
 
Mwalimu Nyerere,ndio mwanzilishi,na alishiriki mpaka kuchimba mitaro,kupeleka maji hapo,Chamwino,alikaa kwenye kambi hapo,karibia miezi mitatu,na hakuwa na ulinzi mkubwa .
kweli lakini Magufuli alionyesha nia ya dhati kutimiza ndoto iyo ya Mwalimu Nyerere ya Ikulu kujengwa Dodoma pamoja na kuhamishia shughuli za serikali huko.
 

Kunywa dawa ya panya ukalitaje wewe lile liuwaji huko kuzimu liliko 😜😜😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…