Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!


RIP JPM. Unafiki na uongo hauna nafasi mbele ya Mwenyezi Mungu.
Ulihamisha watu Dodoma hata bila ofisi za kutosha. Ukaanza kazi ya kujenga makao makuu, ikiwemo Ikulu. Siku ya ufunguzi wa ujenzi, kulikuwa na Rais na wastaafu wengine wote, isipokuwa Mwalimu.
Kazi ya Mungu haina makosa. Mzee Mkapa akaanza. Then JPM akafuatia.
May the Almighty God grant them eternal peace. Amen
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Fundi mmoja alipewa KAZI ya ujenzi wa nyumba, akafanya KAZI yake akaondoka.

Baada ya ujenzi kukamilika, akaja fundi mwingine aliyepaka RANGI, akamaliza KAZI yake akalipwa.

Siku ya uzinduzi wa nyumba, fundi aliyepaka RANGI ndiye alihusika kukabidhi funguo ya nyumba Kwa mmiliki. Fundi huyo Kwa kupenda misifa akasema Yeye ndo mjenzi Toka msingi Hadi finishing.

Mimi nadhani tuwapuuze mafundi maana walipewa KAZI na wakalipwa.


Mmiliki au mwenye nyumba wa IKULU ni wananchi.

Wanaokaa ndani ya nyumba hizo ni watumishi tu au waajiriwa wa WANANCHI.

Kila baada miaka kadhaa anaingia mtumishi mwingine, Si issue kubwa.

Tanzania ni Moja, IKULU ni Mali ya wananchi,

Tuache Porojo ya vijiwe vya kwenye kahawa.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Washindi ndio wanaandika historia..

Kama Mwendazake alijenga Kwa nini hakuzindua ilipokamilika?
 
Zuhura Yunis wewe hukuwepo Tanzania hivyo huwezi kujua, wewe ulitoka kuwatumikia mabeberu ukaletwa tu hapo ikulu, sasa angalia hii video kujua chuma kilicho jenga hiyo ikulu.
 
Na Bado sukuma.gang mtalia sana wakati wa uzinduzi wa bwawa mwakani..
Kuanzisha sio kujenga na Wala sio kufanikisha
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
Alokataa nani.
Sukuma gan huwa hamnaga akili kabisa
 
Kawatumikie mabeberu huko.
Nawatumikia hapa hapa,huko wapinunakotaka niende?

Mtalia sana,historia inaandikwa na Washindi hao wengine watatajwa tuu ila hawataingia kwenye maandishi..

Tayari ubao unasoma Ikulu imezinduliwa.na Rais Samia, mengine nimkujifariji 🤣🤣
 
Sawa yupo wapi Ben sanane?
Anzory Gwanda?
Akwilin Akwili?
Nani alimpiga risasi Tundu Lisu?
Huyo ndiyo Muovu sasa
Wewe huna akili yupo wapi kina ulimbokwa,Yule muandishi aliyepigwa bomu na wengine wengi waliyoumia enzi za kikwete?wewe na wenzako ni waovu na hamfai na mnatakiwa kupigwa Vita
 
Hamna,alimchagua kwakua aliona ni mwanamke hana ushawishi wala nguvu kama wanawake wanavyodharaulika usukumani[emoji120]na ndio maana hakumshirikisha mambo mengi alipokuwa rais Hadi maza alitaka kujiuzulu[emoji1787]

Ushahidi uko wapi? Mi naamini alimchagua kwa uwezo wake ma sasa hivi tunaona matunda.
 
Back
Top Bottom