Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
ulikuwemo IMF?. ACHA UZWAZWA WE POYOYO. IMF wanapanga mipango ya nchi hii?
C5325A92-21E9-43CF-9EDF-82E7874CDE15.jpeg

Well nilichanganya madesa ni hela walizocholopoa kutoka kwa wastaafu but you get the idea; aikuwa source ya serikali.

Hayo madeni ya pension funds ayakulipwa miaka yote ya JK, mpaka alipoingia Magufuli ndio kaanza kuwalipa pension funds.

Halafu university inahusika vipi na serikali kuamia Dodoma. Mie nimeongelea majengo ya serikali we unaleta habari ya university.
 
Zuhura yunisi ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete. hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.

Fact check hapa ya Nini??? Si tulikuwa wakubwa na tuliona nani kajenga Ikulu ya CHAMWINO, Kuna ubishi kwamba aliyejenga ni Magufuli??
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Habari inamhusu Zuhura Yunus wewe uko na CDM si taahira wewe[emoji23] chadema inahusika vip, mbowe anahuskaje na LISSU kuhusika kwake kupoje? Acha madawa ya kulevya
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!

Hahaha
 



Endeleeni na kampeni yenu kupigana na Marehemu. Lakini lakini hata Mawe yanajua kwamba ni Marehemu John Joseph Pombe Magufuli.

Alieamua kwa uthubutu mkubwa,kwa uzalendo mkubwa na kwa ujasiri wake...

Kwamba sasa Serikali inaenda Dodoma na Ikulu ianze kujengwa mara moja! Huo ndio ukweli halisi na historia haitabadilishwa kwa njama za mabazazi wachache wa kisiasa na wasakatonge wao!

Haya mengine ni unafiki jazz band ya Msoga Gang & Chawa wa Mama!
Imetoka hiyo!
Ujenzi umeanzishwa na JPM akiwa Rais akishirikiana na Samia kama Makamu wa Rais.

Baada ya JPM kufa, Ujenzi ukakamilishwa na Samia akishirikiana na Mpango.

Kwa hiyo pongezi wanastahili wote JPM na Samia. Hutaki hama nchi.
 
Habari inamhusu Zuhura Yunus wewe uko na CDM si taahira wewe[emoji23] chadema inahusika vip, mbowe anahuskaje na LISSU kuhusika kwake kupoje? Acha madawa ya kulevya
Post zangu zingine za 14 zimejikita kwenye hii mada, binafsi siwaogopi hao CDM wakitaka hiyo dose waanzishe hiyo mada.

Humu wewe utakuwa mtu wa mwisho kuhusu habari za CDM.
 
Haka kabinti ka magogoni nasikia hakajaolewa wanaume mnafeli wapi?
 
Post zangu zingine za 14 zimejikita kwenye hii mada, binafsi siwaogopi hao CDM wakitaka hiyo dose waanzishe hiyo mada.

Humu wewe utakuwa mtu wa mwisho kuhusu habari za CDM.
Alosema unaogopa ni nani? Yaani uogopwe unayejificha nyuma ya keyboard [emoji23] IKULU IMEJENGWA NA SAMIA SIO CHATO GANG?
 
Back
Top Bottom