Ikulu ya Chamwino: Nani hasa anastahili credits?
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Lakini anastahili kutajwa kwa sababu katika mambo yote mazuri aliyofanya Magufuri ni kuamuru Ikulu ijengwe Dodoma na watumishi wa Serikali pamoja na wizara mbalimbali zihamie Dodoma.Hivyo mchango wake ni mkubwa kwenye hilo kuliko Rais yoyote yule Tanzania.
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Kwani Faida ya aadhimisho ya kumbukumbu za kitaifa ni yapi?
 
Unaweza kweli kuandaa makala ya serikali kuamia Dodoma wakati alietekeleza hilo agizo umuache.

Mbowe ameiuwa CDM, Lissu nae kastuka late kumtukana Magufuli akumjengei kaamua attack zake kwa juzi peleka kwa Samia na CCM kwa ujumla.

Hatua za Lissu zimekuja too late, isitoshe narrative anayoongea ni yeye peke yake, wenzake wameshaua credibility ya chama chao kuaminika kama mbadala wa CCM; wananchi wanawaona waganga njaa tu.

CCM ishukuru hakuna chama cha kutembelea upepo wa Magufuli 2025, halafu safu yao yenyewe ilivyo nyepesi sasa kwenye hoja na uwezo; wangesambaratishwa kama upepo.
Anzisha chama chako upambane na CCM kwa hiyo nyota ya Magufuli
 
Hivi watz mtaacha lini upumbavu wa kutilia maanani vitu vidogo vidogo visivyo na faida kwenye maisha yenu na taifa kwa ujumla?

Kwani jina la Magufuri linge tajwa nchi ingeingeza bilion ngapi na baada ya kutotajwa nchi imepata hasara na billion ngapi?
Hili la kutomtaja JPM siyo jambo dogo hata kidogo....jamaa hao kwa kutomtaja wameibua mjadala usio na maana kabisa...Magufuli anajipatia umaarufu na sympathy...ni mbaya kisiasa...ni mbaya kabisa...wanaleta mpasuko ndani ya CCM pasipo sababu...
 
wamekufa marais 3, huyo mbwa wenu ana nini akumbukwe. Amesahaulika baba wa Taifa sembuse jitu katili lililoongoza miaka 5. Hakuna genge pumbavu nchi hii km la kisukuma.
Sijaelewa kwanini umeandika maneno haya yote,read me between the lines chief mimi sikuandika kisiasa niliandika kwa facts so kama unazo hoja na wewe njoo nazo,tunayo shida ya kudhani kila anayeandika jema la Magufuli basi ni mpinzani wa mama but mind you,mimi ni mfanyabiashara (siyo billionaire ni hawa wa kawaida) ila wakati wa Magufuli zipo stage niliumia but still namuheshimu kutokana na vipo alivyovifanya vinanisaidia hadi leo.

Nimesema wapo wanaomkumbuka na tena siyo kwa mabaya bali kwa mazuri hata kama wewe unamuona m'baya vipi huko wewe kumuona m'baya haku-justfy kila mtu amuangalie kwa mtizamo huo na serikali ya sasa kuonyesha chuki za wazi kwake hakuwezi kuyafuta mazuri waliyo nayo mioyoni mwao wale wanaomkumbuka.

Ukiwa mwanasiasa huwezi kunielewa ila iweke akili yako ktk unbiased mode kisha jiulize je mambo yanavyoenda kwa sasa ndivyo yanavyotakiwa kwenda?ukipata jibu kaa nalo mwenyewe ukitafakari.
 
Usi-conclude kwamba Zuhura ameogopa, hayo ni maelekezo kulingana na trending status ya Magufulli ilivyo currently. Zuhura is aware of that too!
 
Back
Top Bottom