KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Kwani wewe hilo li baba lako linavyooza huko kaburini uumii au kwa kuwa lilikuwa libakaji la ukoo wenuMnaumia wenyewe tukilinanga hilo liMunguMtu lenu. Mbona mtakoma, km vp rudini kwenu Burundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe hilo li baba lako linavyooza huko kaburini uumii au kwa kuwa lilikuwa libakaji la ukoo wenuMnaumia wenyewe tukilinanga hilo liMunguMtu lenu. Mbona mtakoma, km vp rudini kwenu Burundi
Nakukumbusha tu, watumishi wote wa serikali wanalipwa na kodi za watanzania na siyo Samia kama ulivyoandika hapo juu.Kuna nguvu kubwa sana inatumika kujaribu kumficha Late Magufuli but ukweli wanaujua wananchi waliokuwa wanateseka kabla hajaongoza nchi.
Hawa hata kama atafichwa vipi still wanaujua umuhimu wake,hatutegemei mtu kama zuhra au yeyote yule aliyeko kwenye circle ya serikali ya leo amtaje Magufuli kwa zuri maana siye anayemlipa.
NB;mimi siyo mwanasiasa ila naongea uhalisia ulivyo.
Mbona hampandishiwi mishahara na Watanzania?Nakukumbusha tu, watumishi wote wa serikali wanalipwa na kodi za watanzania na siyo Samia kama ulivyoandika hapo juu.
wa kupewa credits hapo ni wawili tu,kwanza aliyetoa wazo la kuhamishia makao makuu dodoma na wa pili aliye implement huo.Zuhura Yunus ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya Ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete.
Hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza? Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Mi sipendi kabisa wazazi wangu wafe kifo kibaya kama cha shetani lenu na wenyewe wanajua kabisa shetani yule alivyoyaathiri maisha yetu kwa kipindi kifupi tuKwani wewe hilo li baba lako linavyooza huko kaburini uumii au kwa kuwa lilikuwa libakaji la ukoo wenu
Unaweza kutuambia vigezo ulivyotumia kumwita binadamu mwenzio Shetani usihukumu nawe utahukumiwa huna kipimo cha kupima madhambi ya mtuMi sipendi kabisa wazazi wangu wafe kifo kibaya kama cha shetani lenu na wenyewe wanajua kabisa shetani yule alivyoyaathiri maisha yetu kwa kipindi kifupi tu
Sawa lakini pia kumsifia mtu ambaye hawezi kuipokea sifa yako kwake nimatumizi mabaya ya ubongo piaHoja kubwa ni sio kuwagawa viongozi Ila kukumbuka waliofanya,
Kwani ukimtaja kuwa alianza Nyerere akaja mwingi akaja mkapa akaja kikwete halafu akaja magufuli na samia akamalizia kuna shida gani au unapungukiwa na nini?
Usipomtaja haupungukiwi Wala kuongezeka kitu Ila wenye akili watajiuLIZA.
Kuendeleza uadui kwa mtu ambaye hawezi kukujibu kashalala ni matumizi mabaya ya ubongo,la sivyo unaamua kusema hili jengo wazo limeanza na baba wa taifa halafu Marais waliofuata wakifanya kadri ya nafasi zao na aliyeko madarakani kamalizia
🤣🤣🤣 mbona baba yako kafa mdomo wazi na anajinykia huko kaozaMi sipendi kabisa wazazi wangu wafe kifo kibaya kama cha shetani lenu na wenyewe wanajua kabisa shetani yule alivyoyaathiri maisha yetu kwa kipindi kifupi tu
Hapa tunapoteza maana ya uhalisia lazima utamke. Kuna baba alileta wazo akaanza kujenga lakini hakufanikiwa kumaliza ndipo mabuti yakamkuta,Mimi kiongozi wa familia nilichukua jukumu la kumalizia kazi iliyanzwa. Na baba,Sawa lakini pia kumsifia mtu ambaye hawezi kuipokea sifa yako kwake nimatumizi mabaya ya ubongo pia
Labda nikuulize tuu kwamba kwamfano wewe baba yako alianzisha ujenzi wa nyumba kwa bahati mbaya akafikwa na umauti akiwa kaanzisha msingi tu
Baadae wewe ukapambana kuwahamasisha wana family kujitoa kwa michango na nguvu kazi pesa zile ukazitumia kwenye ujenzi huo hatimaye ukakamilisha ujenzi wa nyumba hiyo
Baada ya kukamilisha anakuja mwanafamilia mmoja na kutamka maneno haya mbele yako...
TUNA PASWA KUMPONGEZA BABA YETU MAREHEMU KWA UJENZI WA HIINYUMBA HAKIKA AMEFANYA KAZI KUBWA MNOO NA ANASTAHILI HESHIMA NA PONGEZI MUNGU AMLAZE MAHARI PEMA PEPONI..
niambie mkuu utajiskiaje katika hili??
Mh. Rais wetu, watendaji wote wa serikali, chama na raia wote wa Africa kwa ujumla wake!Zuhura Yunus ambaye ni mwandaaji wa simulizi ya Ikulu naona anaowataja ni Nyerere, Mwinyi na Kikwete.
Hivi mnafikri watanzania bado wapo zama za giza? Magufuli hata msipomtaja mawe yatamtaja, Kikwete sioni mchango wake hapo.
Hivyo ni vifo wanavyokufa mafedhuli kama lile liMunguMtu lenu kule Chato.🤣🤣🤣 mbona baba yako kafa mdomo wazi na anajinykia huko kaoza
Kipimo ni hapa hapa duniani best.Unaweza kutuambia vigezo ulivyotumia kumwita binadamu mwenzio Shetani usihukumu nawe utahukumiwa huna kipimo cha kupima madhambi ya mtu
Matendo gani aliyoyafanya hapa duniani embu tuandikie na ushahidi maana unaweza kumhukumu kwa majungu kwa vile una chuki naeKipimo ni hapa hapa duniani best.
Matendo ya kishetani mbona yako wazi sana na hasa yakifanywa na mtu tuliyempa dhamana ya kutuongoza.
Yule ni shetani halisi kabisa bila hata chenga. Na wengine sasa hivi wanamwabudia.
Alitunyima haki yetu ya kupandishwa mishahara na madaraja for 6yrs. Hii haiwezi kuwa tabia ya binadamu kupenda raia wake wateseke.Matendo gani aliyoyafanya hapa duniani embu tuandikie na ushahidi maana unaweza kumhukumu kwa majungu kwa vile una chuki nae
Kama lilivyokufa li baba lako limekufa mdomo wazi😂😂😂Hivyo ni vifo wanavyokufa mafedhuli kama lile liMunguMtu lenu kule Chato.
Dunia nzima inajua lile shetani lenu lilikufa kifo cha aibu. Wazazi wangu hawawezi kufa kifo cha kizembe namna ile ht kama umri umeenda.Kama lilivyokufa li baba lako limekufa mdomo wazi😂😂😂