Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni matajiriVipi kuhusu Singapore
Hiyo Nchi imefilisika na sababu kubwa ni kutegemea sekta moja kuendesha Uchumi.Wananchi wa Sri Lanka wavamia Ikulu ya nchi yao, tazama picha chini, ikumbukwe Jeshi la nchi haliruhusiwi kushambulia Wananchi Kikatiba, kweli kuna nchi zimepinda, lkn haya yote ni matokeo ya dharau na majibu ya hovyo kwa watu ambao tayari wanataabika, …
![]()
View attachment 2285531
Kwani jeshi ndio litaacha raia waharibu mali na kuvuruga Nchi Kisa eti unadai Hali nzuri za maisha?Safi sana
Hapo jeshi inabidi iwasikilize tu
Huku wanaweka mambo taratibu sawa
Ova
Kuna wakati askari huungana na raia kudai hakiDuh hakika wengi mtafungwa POP miguuni na mikononi na mabandeji.
Na bado Huu ni mwanzo yatatokea Sana haya ,nchi nyingi ziko hovyo Sana kiuchumi + madeni makubwa yasiyolipika Kwa sasa na sababu zinazochangia haya ni nyingi Ila mismanagement na bad leadership ni moja wapo ya factor ambayo inaplay kwenye nchi nyingi kuanzia Lebanon ,Srilanka,Ecuador , Pakistan , Venezuela ,Cuba, Afghanistan, Libya , Yemen ,Sudan,Egypt , Ghana , Argentina,nkWananchi wa Sri Lanka wavamia Ikulu ya nchi yao, tazama picha chini, ikumbukwe Jeshi la nchi haliruhusiwi kushambulia Wananchi Kikatiba, kweli kuna nchi zimepinda, lkn haya yote ni matokeo ya dharau na majibu ya hovyo kwa watu ambao tayari wanataabika, …
![]()
View attachment 2285531
Hahaaa wazee WA kujilipua na mabomu ,hahaaaaa Alshabab WA SrilankaBora wangewaachia nchi Tamil tigers.
Wewe mpumbav mmezoea kuishi kama ng'ombe Tu , we Fala hata ukiambiwa uiname ifIrwe na hao wapuuz mnaoita viongozi bado utatii Tu , swine youHaya ndio matatizo ya kutaka katiba yenye uhuru uliopitiliza!!
matokeo yake ndio haya.
katiba lazima iwe na mipaka
Labda baada ya Miaka milion 30 kutoka sasa, ila si kwa watu hawa Waswahili ambao we ao wanacho taka kuona ni maendeleo ya Simba na Yanga,Wananchi wa Sri Lanka wavamia Ikulu ya nchi yao, tazama picha chini, ikumbukwe Jeshi la nchi haliruhusiwi kushambulia Wananchi Kikatiba, kweli kuna nchi zimepinda, lkn haya yote ni matokeo ya dharau na majibu ya hovyo kwa watu ambao tayari wanataabika, …
![]()
View attachment 2285531
Huyu mng£se hajawahi kuwa na akili ni furushi la kinyesi kwenye fuvu linalotembeaYaan nyie mbulula wa ccm mnafikir nchi hii ni ya kwenu. Watu wamepewa nchi na wameshindwa kuindesha na bado hawataki kutoka unataka wafanyweje Sasa. Sheli hazina mafuta watu wanataabika sana vyiongoz wapo wapo tu
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Miaka million 30 kutoka sasa ndo hililaweza tokeaDuh hakika wengi mtafungwa POP miguuni na mikononi na mabandeji.
Kwa hawa waswahili? Nchi asilimia 90 ni Waswahili kutwa nzima ni udaku na stories za Yanga na Simba,inawezekana tu ni kuwa wamoja ila kwa Tz ni ngumu...
Hazina ya serikali imekauka na nchi ina madeni makubwa yasiyoweza kulipwa na serikali hivyo serikali haikopesheki tena ,hence total economic failure ya nchiHii nchi wazir mkuu wao
Alitangaza kuwa nchi imefilisika
Sikuwa nafahamu maana yake ni nn
Wachumi mtusaidie
Waswahili kama nyie hii haiwezekani, nyie mnacho jua ni Yanga na Simba hata kama Watoto wenu wanashinda njaa na hawana ajira baada ya kusoma hilo hamtaki kujua mnacho jua ni Yanga na Simba.Natamani na sisi tuwaige.Maana sisi huku uchumi umeharibiwa zaidi kuliko hata wao.wtz tuchukue hatua ili tuifanye nchi kuwa ya asali na maziwa.mimi niko tayari wewe je?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajuba wanaogelea ikulu
Nani kakudanganya kuwa tz tupo vizuri kuwashinda sri lanka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]Muongo wewe ! Sio kweli ! Wahindi koko wale wanadhiki hadi puani
Kwani nyie mko vyema? Au wanao nufaika na hii nchi ni wachacge tuNa bado Huu ni mwanzo yatatokea Sana haya ,nchi nyingi ziko hovyo Sana kiuchumi + madeni makubwa yasiyolipika Kwa sasa na sababu zinazochangia haya ni nyingi Ila mismanagement na bad leadership ni moja wapo ya factor ambayo inaplay kwenye nchi nyingi kuanzia Lebanon ,Srilanka,Ecuador , Pakistan , Venezuela ,Cuba, Afghanistan, Libya , Yemen ,Sudan,Egypt , Ghana , Argentina,nk
Na kushinda kudiscis Yanga na SimbaMpaka tuache kuwasha mwenge ndio akili zotatukaa sawa