Ikulu ya Dar, litokee hili, fikiria itakuwaje ?

Ikulu ya Dar, litokee hili, fikiria itakuwaje ?

Nani kakudanganya kuwa tz tupo vizuri kuwashinda sri lanka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Tuko vizuri kwenye kujadili Mpira kutwa nzima na kudiscus wakina Mwijaku
 
Waswahili kama nyie hii haiwezekani, nyie mnacho jua ni Yanga na Simba hata kama Watoto wenu wanashinda njaa na hawana ajira baada ya kusoma hilo hamtaki kujua mnacho jua ni Yanga na Simba.
Hahaaa , waTanzania wengi ni Iq ndogo ,na wengi hawajui global economy ilivyo mbaya Kwa sasa na kinachoendelea ulimwenguni mpaka waanze kukosa hata mlo mmoja ndio akili zitaamka , hii Hali itatokea hata Tanzania hapa we subiri Tu , kama watu mnafuatilia mambo Ghana Kule , Libya ,Egypt na Sudan Hali ni mbaya na maamndano yameanza tangia wiki iliyopita na sababu ni almost zile zile kama za Srilanka ,
 
Waswahili kama nyie hii haiwezekani, nyie mnacho jua ni Yanga na Simba hata kama Watoto wenu wanashinda njaa na hawana ajira baada ya kusoma hilo hamtaki kujua mnacho jua ni Yanga na Simba.
Hahaaa , waTanzania wengi ni Iq ndogo ,na wengi hawajui global economy ilivyo mbaya Kwa sasa na kinachoendelea ulimwenguni mpaka waanze kukosa hata mlo mmoja ndio akili zitaamka , hii Hali itatokea hata Tanzania hapa we subiri Tu , kama watu mnafuatilia mambo Ghana Kule , Libya ,Egypt na Sudan Hali ni mbaya na maamndano yameanza tangia wiki iliyopita na sababu ni almost zile zile kama za Srilanka ,
 
Wajamaa wako serious
20220709_212745.jpg
 
Hawa siyo waandamanaji, kuna watu wamejipenyeza hapo kwenda kupekuwa document za Mzee. Wameingia kila mahali sasa Ofisni, jikoni, vyumbani, swimming pool duh!
 
Hayawezekani hayo kwa sababu Nyerere alipiga marufuku watu kumiliki silaha.
 
Kwani jeshi ndio litaacha raia waharibu mali na kuvuruga Nchi Kisa eti unadai Hali nzuri za maisha?

Hakunaga jeshi la hivyo Duniani na hiyo haiwezi kuwa Nchi tena bila order maana rooting itaanza.
Acha woga wewe mjambiani mpumbavu .. sa100 must go to jail
 
Kwanza ngoja nicheke ila kiufupi kwa bongo mkijaribu kuweka pua tu
Hamtaamini ffu wametoka wapi
Kufumba na kufumbua wapo kama wote yaani hata wa kagera watakuja Magogoni
Na wanakichapo wale jamaa
Ataje bisha ajakutana nao m nauzoefu nao mwaka 2016 kantalamba boys wanagongwa mbaka unasahau jina lako
Na wakizidiwa nguvu wakija bakabaka ndo utajua ikulu ni mahali patakatifu we paone vile vile ila usije kujalibu
 
Tatizo la sisi huku watu akili zao wanazijua wenyewe wanaweza kujisaidia hata jikoni hivyo bakora zitawahusu tu! Hatunaga utii kabisa
 
NIMECHEKA WENGINE WAKAANZA KUOGELEA 🏊‍♂️ , NAHISI WENGINE WALIINGIA ROOM KULALA BED LA PRES DAA
 
Back
Top Bottom