Tuko vizuri kwenye kujadili Mpira kutwa nzima na kudiscus wakina MwijakuNani kakudanganya kuwa tz tupo vizuri kuwashinda sri lanka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Hahaaa , waTanzania wengi ni Iq ndogo ,na wengi hawajui global economy ilivyo mbaya Kwa sasa na kinachoendelea ulimwenguni mpaka waanze kukosa hata mlo mmoja ndio akili zitaamka , hii Hali itatokea hata Tanzania hapa we subiri Tu , kama watu mnafuatilia mambo Ghana Kule , Libya ,Egypt na Sudan Hali ni mbaya na maamndano yameanza tangia wiki iliyopita na sababu ni almost zile zile kama za Srilanka ,Waswahili kama nyie hii haiwezekani, nyie mnacho jua ni Yanga na Simba hata kama Watoto wenu wanashinda njaa na hawana ajira baada ya kusoma hilo hamtaki kujua mnacho jua ni Yanga na Simba.
Hahaaa , waTanzania wengi ni Iq ndogo ,na wengi hawajui global economy ilivyo mbaya Kwa sasa na kinachoendelea ulimwenguni mpaka waanze kukosa hata mlo mmoja ndio akili zitaamka , hii Hali itatokea hata Tanzania hapa we subiri Tu , kama watu mnafuatilia mambo Ghana Kule , Libya ,Egypt na Sudan Hali ni mbaya na maamndano yameanza tangia wiki iliyopita na sababu ni almost zile zile kama za Srilanka ,Waswahili kama nyie hii haiwezekani, nyie mnacho jua ni Yanga na Simba hata kama Watoto wenu wanashinda njaa na hawana ajira baada ya kusoma hilo hamtaki kujua mnacho jua ni Yanga na Simba.
Hata kwetu hapa tuko ovyo tu na yatatokea soonKwani nyie mko vyema? Au wanao nufaika na hii nchi ni wachacge tu
Kwa tz mtajikuta watani tuu kila mtu katoka nduki🤣🤣🤣🤣🤣inawezekana tu ni kuwa wamoja ila kwa Tz ni ngumu...
We huoni kama rumepumbazwa hata waseme kesho mafuta 10000 tunaufyataKwamba wanaowasha mwenge wamelaaniwa kama ilivyoandikwa toka katika Maandiko Matakatifu, au siyo [emoji848][emoji28]
POP zitafungwa mpaka ndani ya machoDuh hakika wengi mtafungwa POP miguuni na mikononi na mabandeji.
Acha woga wewe mjambiani mpumbavu .. sa100 must go to jailKwani jeshi ndio litaacha raia waharibu mali na kuvuruga Nchi Kisa eti unadai Hali nzuri za maisha?
Hakunaga jeshi la hivyo Duniani na hiyo haiwezi kuwa Nchi tena bila order maana rooting itaanza.
Naunga mkono hoja sa100 must goNatamani na sisi tuwaige.Maana sisi huku uchumi umeharibiwa zaidi kuliko hata wao.wtz tuchukue hatua ili tuifanye nchi kuwa ya asali na maziwa.mimi niko tayari wewe je?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kulamba asaliTuko vizuri kwenye kujadili Mpira kutwa nzima na kudiscus wakina Mwijaku
Umesahau udaku mara nani anatembea na nani mara nani kaachwaTuko vizuri kwenye kujadili Mpira kutwa nzima na kudiscus wakina Mwijaku
Linapumbaza akili hilo dude!Kwamba wanaowasha mwenge wamelaaniwa kama ilivyoandikwa toka katika Maandiko Matakatifu, au siyo [emoji848][emoji28]
Tutafika tu.Wajamaa wako seriousView attachment 2285708