Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu yetu ilitakiwa itoe taarifa mara baada ya taarifa ya Odinga.Yeye Raila alimuona Rais wetu huko kwao?
Hajaelewa huyoIkulu yetu ilitakiwa itoe taarifa mara baada ya taarifa ya Odinga.
Au Odinga katumiwa na Sukuma Gang azushe hilo ili kumsababishia mama mtafaruku nchini mwake?Wanamchukulia kama wale wabunge feki covid19
Walikuwa wote siku mbili. Endelea kubisha Raila aropoke usiyotaka kuyasikiaYeye Raila alimuona Rais wetu huko kwao?
Raila ana makosa kukaa sehemu ya kificho na Rais wetu mpendwa wa DP worldWakenya aliotaka kuwapatanisha bila kuombwa.
Kungumanga za mombasa kwa ajili ya kurembulia macho.Itakuwa alienda kununua udi na ubuyu.
Inawezekana, ilikuwa tu ' private trip ya Rais wetu pamoja na kwamba, kipindi hicho DP World nao walikwenda Kenya kuzungumza na Ruto kuhusu uwekezaji..........sie ngoja tusubiri kusikiliza ukweli ni upi.....Walikuwa wote siku mbili. Endelea kubisha Raila aropokhe usiyotaka kuyasikia
Raila katoa siri. Hata Samia hakutaka ajulikane kuwa alikwenda huko.Hii aibu
Kiuhalisia and according to protocol, Rais wa nchi anapokwenda nchi nyingine,kwa minajili ya shughuli binafsi huwa haitangazwi, lakini ikulu ya nchi husika inakuwa na raarifa na hutoa usalama kwake.so hata kama alikwenda jambo ambalo ni la kweli ila kama ilikuwa kwa shughuli binafsi au usiyohitaji kutangazwa then usitegemee wakakubali.Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
View attachment 2700057
---
Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.
Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Mmhhh..hatari.Unauhakika alikwenda kuwapatanisha bila kutombwa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Waziri wa Ulinzi atakua anajua kweli kuwa rais hakuwepo nchini?Ukute hata ikulu haijui kuwa bi mdashi alikuwa hayupo wamejua baada ya raila kusema 😂😂😂.
Alimbinjuka kivyake.
Tuwe na staha kidogo.Unauhakika alikwenda kuwapatanisha bila kutombwa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app