Ikulu ya Kenya yakanusha kwenda kwa Rais Samia kama msuluhishi

Ikulu ya Kenya yakanusha kwenda kwa Rais Samia kama msuluhishi

Ni hatari raisi kwenda nchi nyingine bila protocol...anything can happen..nadhani kuna pahala idara ya usalama wa Taifa imepwaya.
 
Walikuwa wote siku mbili. Endelea kubisha Raila aropokhe usiyotaka kuyasikia
Inawezekana, ilikuwa tu ' private trip ya Rais wetu pamoja na kwamba, kipindi hicho DP World nao walikwenda Kenya kuzungumza na Ruto kuhusu uwekezaji..........sie ngoja tusubiri kusikiliza ukweli ni upi.....
 
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
View attachment 2700057
---

Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.

Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Kiuhalisia and according to protocol, Rais wa nchi anapokwenda nchi nyingine,kwa minajili ya shughuli binafsi huwa haitangazwi, lakini ikulu ya nchi husika inakuwa na raarifa na hutoa usalama kwake.so hata kama alikwenda jambo ambalo ni la kweli ila kama ilikuwa kwa shughuli binafsi au usiyohitaji kutangazwa then usitegemee wakakubali.
 
Ikulu yetu ilitakiwa itoe taarifa mara baada ya taarifa ya Odinga.
Ukute hata ikulu haijui kuwa bi mdashi alikuwa hayupo wamejua baada ya raila kusema 😂😂😂.
Alimbinjuka kivyake.
 
Back
Top Bottom