Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
Wanamchukulia kama wale wabunge feki covid19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamchukulia kama wale wabunge feki covid19
Washenziiii wakenya eti alienda kujivinjari tena anasema mtu mkubwaaa.Ni hatari sana , je rais wetu angeumizwa? Dah siku nyingine wawe makini
Huyo ni mali ya waTanzania, kama anataka 'privacy' aondoke hapo akafanye hiyo 'privacy' nyumbani kwake.Hata alienda kuishi US kwa mwezi mmoja wewe unakwama wapi au akikaa hapa kwa mwaka mzima wew unanufaika wapi? Jua hata Rais kuna muda anahitaji privacy.
Inabidi hata vyombo vilivyoruhusu rais wetu kulala nje ya nchi bila kutoa taarifa je kama wangemdhuru? Yaani ni kama alivyokufa Dr Magufuli tulifichwaWashenziiii wakenya eti alienda kujivinjari tena anasema mtu mkubwaaa.
Wasije tu kusema alitorosha vitu kwa kisingizio cha upatanishi. Au wakamsingizia alilazwa. Siri si bure
raila kesha chemsha anatafuta huruma kwa kila aina ya hila au anataka tz iingilie kama mkapa na kofi annan walivyofanya mpaka akawa waziri mkuuInaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---
Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.
Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Ha hahaha mkuu nimecheka sanaUshawahi ona nyumba ambayo baba alikuwa mkali halafu akafariki na kuna watoto wa kike. Ule uhuru unaopatikana inakuwa kama fungulia mbwa. Kila mtu anaenda kuzurula kona yake.
Ukute huyo waziri wa ulinzi alikuwa Uganda kwa safari zake binafsi.
Hii ni dharau kubwa Kwa the late JKN!!Ukute ndio sababu ya rais kwenda huko sasa ataachaje kumuona??
Anajua pia kuwa alikuwa huko kwa usiku miwili.
View attachment 2700224