Ikulu ya Kenya yakanusha kwenda kwa Rais Samia kama msuluhishi

Ikulu ya Kenya yakanusha kwenda kwa Rais Samia kama msuluhishi

Attachments

  • FB_IMG_1690461550896.jpg
    FB_IMG_1690461550896.jpg
    76.6 KB · Views: 1
Ni hatari sana , je rais wetu angeumizwa? Dah siku nyingine wawe makini
Washenziiii wakenya eti alienda kujivinjari tena anasema mtu mkubwaaa.
Wasije tu kusema alitorosha vitu kwa kisingizio cha upatanishi. Au wakamsingizia alilazwa. Siri si bure
 

Attachments

  • FB_IMG_1690461550896.jpg
    FB_IMG_1690461550896.jpg
    76.6 KB · Views: 1
Hata alienda kuishi US kwa mwezi mmoja wewe unakwama wapi au akikaa hapa kwa mwaka mzima wew unanufaika wapi? Jua hata Rais kuna muda anahitaji privacy.
Huyo ni mali ya waTanzania, kama anataka 'privacy' aondoke hapo akafanye hiyo 'privacy' nyumbani kwake.

Watu wengine hata hamjui maana ya kuwa mtumishi wa watu?
Ulisikia wapi kiongozi wa nchi anawatoroka wananchi wake anakwenda kujificha kusikojulikana kwa muda wote huo?

Nchi inapogeuzwa kuwa 'Banana Republic' watu kama nyinyi hamkosekani kutetea upumbavu.
 
Washenziiii wakenya eti alienda kujivinjari tena anasema mtu mkubwaaa.
Wasije tu kusema alitorosha vitu kwa kisingizio cha upatanishi. Au wakamsingizia alilazwa. Siri si bure
Inabidi hata vyombo vilivyoruhusu rais wetu kulala nje ya nchi bila kutoa taarifa je kama wangemdhuru? Yaani ni kama alivyokufa Dr Magufuli tulifichwa
 
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---

Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.

Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
raila kesha chemsha anatafuta huruma kwa kila aina ya hila au anataka tz iingilie kama mkapa na kofi annan walivyofanya mpaka akawa waziri mkuu
 
Ushawahi ona nyumba ambayo baba alikuwa mkali halafu akafariki na kuna watoto wa kike. Ule uhuru unaopatikana inakuwa kama fungulia mbwa. Kila mtu anaenda kuzurula kona yake.

Ukute huyo waziri wa ulinzi alikuwa Uganda kwa safari zake binafsi.
Ha hahaha mkuu nimecheka sana

Ila aliyetuletea huyu mama ametukomesha.
 
Back
Top Bottom