Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nadhani kama alikwenda kweli kimya kimya na wale kukataa wamemsitiri Bibi pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi ona nyumba ambayo baba alikuwa mkali halafu akafariki na kuna watoto wa kike. Ule uhuru unaopatikana inakuwa kama fungulia mbwa. Kila mtu anaenda kuzurula kona yake.Waziri wa Ulinzi atakua anajua kweli kuwa rais hakuwepo nchini?
rais wenu ...toa neno wetuNi hatari sana , je rais wetu angeumizwa? Dah siku nyingine wawe makini
Mama awe anashauriwa vizuri!Ni hatari sana , je rais wetu angeumizwa? Dah siku nyingine wawe makini
Mkuu wewe ni me au ke?Nimekumbuka miaka ile masister duu/watoto wa geti walivyokua wakiruka ukuta usiku ili kwenda cuub au ghetto kwa masela.
Sijui nimewaza sawa au nimekosea?
Nakumbuka Raila Odinga alikuwa mfuasi wa yule kiongozi wa Sukuma gangAu Odinga katumiwa na Sukuma Gang azushe hilo ili kumsababishia mama mtafaruku nchini mwake?
Hata alienda kuishi US kwa mwezi mmoja wewe unakwama wapi au akikaa hapa kwa mwaka mzima wew unanufaika wapi? Jua hata Rais kuna muda anahitaji privacy.Raila katoa siri. Hata Samia hakutaka ajulikane kuwa alikwenda huko.
Mambo ya huyu mama ni hatari sana. Anauza nchi kimya kimya; kaenda kuishi Dubai wiki mbili hakuna aliyejua alipojificha.
Ni hatari sana.
Ibaki hivyo tu, yaani ibaki Me au KeMkuu wewe ni me au ke?
Mkuu chagua moja, ila kama swali limekukwaza basi siyo lazima ujibuIbaki hivyo tu, yaani ibaki Me au Ke
Mkuu, mimi huwa sina noma na mtazamo ya mtu juu yangu. So wala usikonde kuniona Ke au Me. Wewe mradi changia kwa hoja iliyopo.Mkuu chagua moja, ila kama swali limekukwaza basi siyo lazima ujibu
Sawa mkuu, pamojaMkuu, mimi huwa sina noma na mtazamo ya mtu juu yangu. So wala usikonde kuniona Ke au Me. Wewe mradi changia kwa hoja iliyopo.
Anadaiwa kuuza nchi huku huko anakuja kufanya nini?Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
View attachment 2700057
---
Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.
Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Hebu rekebisha hapo😂
Kheeee!!Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---
Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.
Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Mkuu wewe ni mtu mzima- usiamini kila jambo- ni UJINGAInaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---
Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.
Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Marais wanaoingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi hata wakiumizwa kwetu ni poa tu.Ni hatari sana , je rais wetu angeumizwa? Dah siku nyingine wawe makini