Ikulu ya Kenya yakanusha kwenda kwa Rais Samia kama msuluhishi

Ikulu ya Kenya yakanusha kwenda kwa Rais Samia kama msuluhishi

Waziri wa Ulinzi atakua anajua kweli kuwa rais hakuwepo nchini?
Ushawahi ona nyumba ambayo baba alikuwa mkali halafu akafariki na kuna watoto wa kike. Ule uhuru unaopatikana inakuwa kama fungulia mbwa. Kila mtu anaenda kuzurula kona yake.

Ukute huyo waziri wa ulinzi alikuwa Uganda kwa safari zake binafsi.
 
Yeye Raila alimuona Rais wetu huko kwao?
Ukute ndio sababu ya rais kwenda huko sasa ataachaje kumuona??

Anajua pia kuwa alikuwa huko kwa usiku miwili.
Odinga.jpg
 
Mimi sioni tatizo hapo. As long as kuna tija, pia jua siyo kila safari lazima uambiwe wewe
 
Raila katoa siri. Hata Samia hakutaka ajulikane kuwa alikwenda huko.

Mambo ya huyu mama ni hatari sana. Anauza nchi kimya kimya; kaenda kuishi Dubai wiki mbili hakuna aliyejua alipojificha.

Ni hatari sana.
Hata alienda kuishi US kwa mwezi mmoja wewe unakwama wapi au akikaa hapa kwa mwaka mzima wew unanufaika wapi? Jua hata Rais kuna muda anahitaji privacy.
 
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
View attachment 2700057
---

Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.

Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Anadaiwa kuuza nchi huku huko anakuja kufanya nini?
 
Ikulu ya Kenya kupitia msemaji wake imesema Rais wa Tanzania Samia alikwenda nchini humo kula bata na hakualikwa na Serikali ya Kenya.
 
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---

Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.

Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Kheeee!!
 

Attachments

  • IMG_20230323_192240.jpg
    IMG_20230323_192240.jpg
    18.3 KB · Views: 1
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi.
---

Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro unaoendellea, Msemaji wa Serikali ameibuka na kukana suala hilo. Soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

Akitoa ufafanuzi huo huku akionekana anajibu swali la raia, Msemaji huyo amesema inapotokea kuna kiongozi yoyote anaenda Kenya kuna taratibu maalumu walizojiwekea kumpokea kiongozi huyo. Suala la Rais wa nchi yoyote kuja linashughulikiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya.

Hivyo, kama kuna jambo lolote umesikia kuhusu kiongozi kuja nchini ni vyema aulizwe aliyetoa taarifa hizo.
Mkuu wewe ni mtu mzima- usiamini kila jambo- ni UJINGA
 
Back
Top Bottom