Uchaguzi 2020 Ikulu ya Marekani: Tutapitia tuhuma na kuwawajibisha wanaohusika na ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania

Uchaguzi 2020 Ikulu ya Marekani: Tutapitia tuhuma na kuwawajibisha wanaohusika na ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania

Funny thing hizo hatua hua hazichukuliwi ndani ya wiki muda mdogo ni miaka mitano.
 
hebu ondoeni zuilio la polsisiem
muone kama barabara zitatosha
issue ni kwamba sisi hatutaki makabiliano na polisi wenu kwa sasa hadi tutapojiandaa kimakabiliani
Wewe Na Nani,
Mbona hao watu wenye Mzuka wa kuandaman hatuwaoni huku Uraiani
 
Hatuhitaji kuwaogopa anaogopwa Mungu tu.
Kwa maana hatuhitaji kuwaogopa polisi wala Rais wala kiongozi yoyote hapo wamuogope Mungu tu au unamaanisha vipi?

Mungu katupa akili ya kuchaguwa ukiona hatari uepuke ukiona shari uepuke, Mungu ni wa kuabudiwa na amtupa sisi hekima ya kujiongoza.

Kauli zako zakijumla sana lakini hatari ni kubwa katika uchumi wetu wakiamua kutufungia.

Kukufahamisha tu kwa faida yako leo wakisema hakuna kufanya biashara na Tz usidhani ni kampuni za USA tu ni kila kampuni inayo trade New York stock exchange kwa maana hiyo ni kampuni mpaka za Europe.
 
Ndio mjue maana ya umoja wa kitaifa kutoweka!Akija adui kuna watanzania wazawa kabisa wataungana naye ili mradi vita ni dhidi ya utawala huu unaonuka damu na ukatili wa hali ya juu!
Shame on this government!
 
Kwa maana hatuhitaji kuwaogopa polisi wala Rais wala kiongozi yoyote hapo wamuogope Mungu tu au unamaanisha vipi? Mungu katupa akili ya kuchaguwa ukiona hatari uepuke ukiona shari uepuke, Mungu ni wa kuabudiwa na amtupa sisi hekima ya kujiongoza. Kauli zako zakijumla sana lakini hatari ni kubwa katika uchumi wetu wakiamua kutufungia. Kukufahamisha tu kwa faida yako leo wakisema hakuna kufanya biashara na Tz usidhani ni kampuni za USA tu ni kila kampuni inayo trade New York stock exchange kwa maana hiyo ni kampuni mpaka za Europe.
Kwani ni mara yao ya kwanza kutuwekea vikwazo mkuu? Uhuru wetu ni muhimu zaidi kuliko kitu kigingine chochote! Mkuu acha kufikiri Kitumwa!
 
The United States commends the Tanzanian people for attempting to exercise their right to vote in the October 28 general elections. However, we remain deeply concerned by credible reports of significant and widespread voting irregularities, internet interruption, arrests, and violence by security forces both in mainland Tanzania and on Zanzibar. These irregularities call into question Tanzania’s commitment to democratic values. While the Tanzania Election Commission declared President Magufuli on October 30 as the winner of the presidential contest, we remain deeply troubled by the impact of these irregularities and violence on the results.

We continue to urge restraint by all parties and peaceful resolution of any disputes. We urge Tanzanian authorities to investigate allegations of irregularities and violence by security forces and ensure that all political actors have access to legal institutions to peacefully address electoral disputes.

We call on the Government of Tanzania to uphold the human rights and fundamental freedoms of all, including their freedom of expression and right of peaceful assembly, and to promote internet freedom and to ensure that all those arrested during demonstrations are afforded all applicable procedural safeguards. The United States, in coordination with our partners, will consider actions including visa restrictions, as appropriate, to hold accountable those found to be responsible for human rights abuses and interference in the election process.

The Tanzanian people, like people everywhere, deserve transparent and accountable governance, equal treatment under the law, and the ability to exercise their rights without fear of retribution. Achieving our shared goals and furthering our bilateral relationship will require ensuring that all stakeholders are represented and can fully exercise their roles in Tanzania’s democracy.

View attachment 1618469
 

Attachments

  • VID-20201103-WA0000.mp4
    919.5 KB
Wakati wewe unaumiza vidole vyako kubishana hapa, wenzako wanakwenda huko huko Marekani kuomba hela

Sasa wewe endelea kuaminishwa Hiko unachokiamini
Watanzania mmekuwa hata aibu hamna, ati unajisifu ameenda kuomba hela. Umasikini ni mtaji, na mnaona ufahari.
 
Wananchi ndiyo waliopigakura siyo wewe uliyeko nyuma ya keyboard na ndiyo maana hawataki kuingia barabarani.
Inasikitisha kuamini na kuaminisha ujinga mimi nilikuwa kwa chumba cha kura wizi ulitopea orodha ndefu ya majina ya wafu yalipiga kura watu mafisa kata walipiga kura zaidi ya mara mia.
 
Hao Wamarekani si ndo wanawaua watu weusi kila siku huko? Nani anawachunguza?
Mkuu huna unachotengeneza kwa upande wa teknolojia

Sisi kila kitu tunaagiza toka nje ya nchi

Nafahamu hujawi fanya biashara.

Hapa Tanzania nchi imeshikiliwa na wahindi kwenye biashara kubwa zote za Import na Export

Trading kubwa hapa Tanzania tunaagiza kila kitu kuanzia vipuri na vifaa tiba

Kenya tu hapo jirani ametugeuza sisi ndio soko lake la bidhaa za viwanda vyake

Tunabweka wakati mmiliki wa mbwa ni ulaya na China
 
Zile kauli za kebehi kwa Jk kusema Hatutaki Rais Mwanasiasa sijui tunataka Rais Dikteta zimeyeyuka kama theluji kwny Jua kali!
Hakuna kitu kama hicho, haijakutokea na naamin hujapata madhara yyte kwa namna watu walivyopata tabu kule Tarime na Zanzibar na maeneo mengine mengi! Subir ikutokee wewe au kwa ndugu yako ndio utajua uchungu wake na haya maneno unayotamka leo hii naamin hutayasema tena!
 
Hao Wamarekani si ndo wanawaua watu weusi kila siku huko? Nani anawachunguza?
Makosa mawili hayasababishi halali moja (two wrongs don't make one right). Mara nyingi Lizaboni uko objective endelea kuwa hivyo.

Vitendo vilivyofanyika miaka 5 ya utawala wa Meko vimenajisi demokrasia.
Mfumowa Vyama vingi uko kisheria, kwa nini Meko asikaripiwe anavyokiuka mising ya Katiba aliyoapa kulinda?

Hata kama blacks wanakufa US haifanyi na sisi tuwaue akina Azory na Bensaananne au na wale wa MKIRU. US wanaosema kwa vile sisi ni nchi tegemezi kwenye Bajeti zetu za maendeleo hasa Afya, Miundombinu na Ulinzi.
 
Kwa Vigezo vya Mabeberu wa Kimarekani, Sie Tanzania tuna ukiukwaji Mkubwa wa Demokrasia na haki za Binadamu kuliko Mashoga zao wa Saudia

Sie na Magufuli wetu wao na kina Pompeo wao!

2025 Inshallah wataambulia Asilimia 1 ya kura zote wakashtaki tena.
Hujafa hujaumbika yawezekana ukaja zaa mtoto shoga au Wazazi wako wakawa mashoga baadae

Usicheke sio kila shoga ni kusudi wengine yaliwakuta wakiwa na familia na hawakuwahi kuhisi watakuwa mashoga

Hujafa hujaumbika.

Wewe zidi kuwaombea tu yasije yakakukuta ndani kwako.
 
Back
Top Bottom