GREATTHINKERDAIMA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 232
- 46
Hiyo hati ya ukweli au baada ya kusikia wajumbe wanaidai ndo wakaamua kwenda kuitengeneza?
Siku zote ilikuwa wapi kuoneshwa mpaka leo ama wakati huu ndo ioneshwe?
Waandishi wa habari nao ni sehemu ya Bunge la Katiba?
Uhakika uko wapi kama hiyo ndio hati yenyewe?
HAYA FANYENI YOTE LAKINI MKUMBUKE KUDUMISHA AMANI YA NCHI YETU.
Siku zote ilikuwa wapi kuoneshwa mpaka leo ama wakati huu ndo ioneshwe?
Waandishi wa habari nao ni sehemu ya Bunge la Katiba?
Uhakika uko wapi kama hiyo ndio hati yenyewe?
HAYA FANYENI YOTE LAKINI MKUMBUKE KUDUMISHA AMANI YA NCHI YETU.
