Uchaguzi 2020 Ikungi: Magufuli amuahidi Lissu kazi, amuambia aachane na Urais ambao hatashinda

Ndio maana nimeukataa u Dr. Na uprof.kwani ninayoyaona no aibu tupu.
 
Tundu hamshindi Magufuli popote, asubiri uteuzi kwa nafasi atakayoiweza sio urais🤣🤣🤣

Maendeleo hayana vyama
Uchaguzi siyo ramli ni kuuza sera ukaeleweka ukapigiwa kura.Yeye si kafanya mambo makubwa hofu ya nini.anamhofia mtu mdogo.Mzee baba si arelax.
 
Magufuli asiige mwendo wa lissu wa mipasho atateleza na kuangukia pua
 
Jiwe huwa anapanic ile mbaya, awape kazi wanaccm maana ndio huwa wanamtemekea. Na kina Mbatia, Lipumba ndio wenye shida na kazi za jiwe.
Bila kumsahau mzee wa Kiraracha!
 
Mgombea Urais kupitia chama cha Mapinduzi Dr John Pombe Joseph Magufuli amewaambia wapiga kura wa Ikungi kuwa "...najua kuna mgombea anatokea hapa, mwambieni tu hatuchagui sura tunachagua maendeleo - Tutampa kura Magufuli yeye tutampa kazi ndogondogo".

- Si lazima wote tuwe RAIS

- Mwambieni nimesema nitampa kazi.
 
Kauli za kisiasa za kichokozi hizi zisizoumiza!.. hapo wakija chade watatutumka mishipa kulaani na kupinga hawajui ni wakati wa kampeni huu..

CHAUMA DAMU DAMU.
 
Mkulu amepinda sana hizo kazi ndogondogo usikute anamaanisha ni kutunza tausi magogoni
 
Sera zimemwagwa nyingi sana watu wanakula bata saa na oktoba 28 kama kawa kama dawa

Kilichowashinda kula ndani ya hii miaka mitano ni nini? Au taja bata wanazokula jimbo la Mwigulu ambaye mbunge wa ccm zaidi ya 10yrs.
 
Tundu Lisu anafaa kuwa AG au DPP lakini siyo Rais wa Tanzania!
Wewe umeongea vema mkuu,sivutiwi na Magufuli ila Sina imani na Lissu kwamba nafasi ya uraisi ni kubwa kwake,eneo pekee linalomfit ni kuendelea kuwa mwanaharakati/AG/DPP/Waziri wa Sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…