- Kwanini watu wa stationery wasio na ujuzi wowote kuhusu masuala ya uagizaji na usambazaji wa sukari wapewe hiyo kazi? Uko wapi usalama wa mtumiaji wa sukari?Mim nikusahihishe,nilisikia wenye viwanda walikua wanadengua dengua,ndio mana labda dili ilivofika kwa watu wa steshenar wakachangamka,shida ipo wap ikiwa wote wana tin numbar
Waziri anasimama kwa niaba ya serikali .. jibu ni ndio hesabu rahisi sana hazihitaji shuleUnasema bei ya Sukari itashuka kisa kuna Sukari nyingi ameagiza Bashe?
Mzigo ukifika bandarini au airport kuna vyombo au taasisi zinahusika na ubora wa chakula au dawa zinazoingia nchini.. TBS , TMDA , Mkemia mkuu , na wengineo hapo kabla hujakutana na TRA unaanza na hao wanaohakikisha ubora... Tupo salama Mkuu usiwe na hofu kabisa kwenye ubora .. serikali hii ya ccm haiwezi ikaruhusu sumu ikaingia mtaaani ..- Kwanini watu wa stationery wasio na ujuzi wowote kuhusu masuala ya uagizaji na usambazaji wa sukari wapewe hiyo kazi? Uko wapi usalama wa mtumiaji wa sukari?
- Inawezekana vipi mtu wa stationery mwenye mtaji wa milioni moja akapewa kazi ya kuagiza sukari ya bilioni 6.6?
Kanaonekana na vingereza vingi ,kumbe kajizi ka kutupa , kanatakiwa kuminywa kende mpaka kazitapike ,sio kenyewe tu hata mishirika mifisadi mingineGape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole
Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.
Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... ππ
Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!π
Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!
Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Sasa ndo unatafuta mtu mwenye mtaji wa mil moja, ccm babu ,mama ,baba, kaka,dada mpaka vitukuu wote wezi , ccm ni ukoo wa panyaWakati wa dharura hutafutwa mtu yoyote mwenye Uwezo wa kumaliza tatizo Kwa haraka na anapewa Kazi haijalishi yuko kwenye Hiyo industry ama la
Hata utaratibu wake wa kulipa Income tax ni tofauti kwani atalipia faida ya hiyo consignment tu kisha anaendelea na maisha yake
Tatizo litakalombana Bashe ni Moja tu, kiasi kilichohitajika Kwa dharura na kiasi alichoagiza ni tofauti
Lakini anaweza kupangua Kwa kusema Waliotengeneza uhaba ni wazalishaji wa Ndani na walisababisha Bei kupanda sasa ili kukabili Bei kubwa ya sukari ni lazima supply more Ili bei ishuke
Swala la Sukari ni la Demand and supply na Siyo Siasa
Ulale Unono ππ
Kwani ametumia hela yako au ya Serikali kuagiza sukari? Pili kipi bora sukari iwe nyingi mpaka iteremke bei kutoka Tsh 10,000 hadi Tsh 3,000?Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole
Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.
Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... ππ
Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!π
Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!
Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Bora Sukari nyingi imekuja nchini. Hizo zingine ni porojo tuIli kuwapa dili watu wake, halafu katika hizo 40 viwanda vzya sukari vikapewa vibali vya kuagiza tani 10 kwa kila kiwanda, jumla yao ikawa tani 50, huku wafanyabiashara wasiojua chochote kuhusu biashara ya sukari wakipewa vibali vya kuagiza na kuuza mzigo wa tani 360 wengine wakijihusisha na biashara ya stationery.
Kwa nini serikali inakataza wafanyabiashara wadogo walioko mipakani kuingiza sukari nchini??Mafuriko ya mwaka jana na mwaka huu miwa ya wakulima yote imeharibika kwa asilmia 80, kwa hiyo nchi itavuna sukari ya maana mwakani. Iliyopo ni kidogo, kwa hiyo upungufu wa sukari utaendelea kwa muda mrefu mpaka wakulima wavune tena miwa.
Kagera ilifikia muda magari ya kusomba miwa yanashindwa kuingia shambani kutokana na mafuriko, miwa yote ikaharibika. Sasa hilo gepu la miwa iliyoharibika linajazwaje kwa karibu mwaka mzima? Morogoro hivyo hivyo, mafuriko yalitamalaki
Hiyo ni kawaida kwa binadamu, ukikaa sana utalalamika na ukisimama kwa muda mrefu utalalamika, kila kitu kinataka kiasi.Mbona ujuaji ni mwingi waTanzania, sukari ikiadimika mnalalamika ikiwa excess mnalalamika, sasa hamuoni sukari ikiwa nyingi ndio bei inashuka?
Duh hii nchi ngumu sana
Aongeze zaidi ili hili jinamizi la Gap Sugar lisisikike milele na milele.Gape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole
Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.
Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... ππ
Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!π
Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!
Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaich
Sio huyo tu, hata na mama yenu ni jiziGape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole
Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.
Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... ππ
Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!π
Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!
Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Mbona ujuaji ni mwingi waTanzania, sukari ikiadimika mnalalamika ikiwa excess mnalalamika, sasa hamuoni sukari ikiwa nyingi ndio bei inashuka?
Duh hii nchi ngumu sana
Kumbe CCM ni ileileGape Sugar kwa nusu mwaka ni 30K (kwa takwimu za wizara ya Bashe na Serikali ya CCM). Kwa Kuagiza hii Sukari yote (400k) ni kuitia Serikali kidole
Bashe yeye kaagiza sukari ya miaka 5 ndani ya mwaka, hili limekaa kimkakati sana hii ni sawa Sukari ya dharura kwa Miaka 5(kwa wastani na takwimu za sasa). Ni kama Bashe anaanza kutumia Kodi zetu kujiandaa na uchaguzi wa 2030.
Alilofanya Bashe ni ufisadi mkubwa sana unatakiwa uwekwe kwenye Historia kama ufisadi wa Lowassa, mwaka huu pekee Jamaa ametarget billion 500 kwenye Sukari, imagine alizoiba kwenye Mbolea, BBT, nane nane... ππ
Hata kama Ndio kuuiba, huku ni kumezidi, Kha!π
Ukraine wanawepewa msaada Lakini misaada inatoka kwa awamu, kuna misaada itatoka mwaka 2027, Lakini Bashe yeye hela ya mwaka 2030 anaaiba Leo, Kha!
Bashe asipochukuliwa hatua nitaamini hii nchi kuna Watu wanaichezea
Ina maana we kipindi cha nyuma ulikuwa huoni sukari ukiweka kwenye chai inakuwa kama ina vichupa vinangaa utadhani flask ya thermos..? Au sukari inakuwa kama mchanga uliolowa huku nyuki wameizunguka? Ile ni rejected kutoka nje..watu wanaagiza wanatuuzia. Sema wapumbavu siku zote huwa mnashtuka ukishaambiwa una cancer. Kisha unasema nimeipatajeWewe nae kilaalichoongea magufuli ulikiamini?
Swali la msingi ,na naomba jibu kwa Mwenyekujua, Bashe kama waziri inawezekana kukamilisha hili dili peke yake ndani ya serikali ? Kama sivyo nani wanaweza kuwa nyuma yake ? Kama ndivyo hii jeuri bashe kaitoa wapi?MO ndio kinara, si ndio mwenye kampuni ya ITEL /ya kuuza simu iliyo megewa pande. Sasa najiuliza kiwanda Cha bagamoyo ndio kwanza kimeanza, Leo wadau matajiri number moja wanataka kife kwa tamaa na ubinafsi.
Kwanza 49% ya kampuni ya ITEL zinamilikiwa na magabachori wa India. Bashe Ni mhujumu uchumi . Hakuna jina jingine zaidi ya uhujumu uchumi.
Ingekua China huyu.........tusiongee mengi.
Kuna watu humo may be watakuwa wametakatisha fedha,kupitia hizo kampuni.- Kwanini watu wa stationery wasio na ujuzi wowote kuhusu masuala ya uagizaji na usambazaji wa sukari wapewe hiyo kazi? Uko wapi usalama wa mtumiaji wa sukari?
- Inawezekana vipi mtu wa stationery mwenye mtaji wa milioni moja akapewa kazi ya kuagiza sukari ya bilioni 6.6?