Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

Screenshot_20220718-215200_Opera Mini.jpg
 
nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.

iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.
 
Huyo dogo alikuwa chief accountant DHL Tanzania kabla hajaenda vodacom.

Kwa kozi za udbs. Ukibahatika kuingia Big 4 auditing firms na kukaa miaka kazaa tu. Kupata nafasi kubwa kwenye corporates ni rahisi sana.

Unajua CEO wa NMB amemaliza b com yake pale udsm miaka ya 2000s tu na hana mzunguko mrefu wa kufikia U CEO huku hapo hapo NMB kawakuta watu wana miaka kibao kazini. Ila kawaruka yeye kaingia kama CFO baada ya mwaka akapewa U CEO

Wengi waliosoma nae wapo halmashauri wanasema maneno kama yako
 
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845

Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Usikate tamaa.Mimi nimemaliza B.comm 2003 mbona silalamiki?Pambana kuna siku unaweza kuwa Rais wa nchi ukampiga Robin gap! BTW nilisoma na Jamaa anaitwa Max Kimambo way back in 1995.Nadhani atakuwa kaka yake na huyu.Mama yao ni Mrusi.Bila shaka Max na Robin watakuwa ndugu.
 
Back
Top Bottom