Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Huyu jamaa nilisoma naye St.Anthony pia usihuzunike kimbizana na malengo yako kumbuka kuna watu ni wagonjwa wako kitandani zaidi ya miaka kumi hawawezi kutem ea Kuna wengine walizaliwa wazima wakapata ajali sa ivi ni walemavu wa viungo utajiri mkubwa unaopaswa kujivunia ni afya njema na uhusiano wenye afya na familia yako usijipe stress za bure

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Huyo rafiki yako kilicho mbeba ni hiyo rangi yake na asili yake, huyo sio Mtanzania mwenzako hata kama kazaliwa Tz... Angekua ni Mwamburukutu au Rutashobya au Mshana tungesema wamekuzidi network au IQ, ila hawa waarabu wahindi wanatoboa kimaisha kwasabab investors wengi ni ndugu zao na wanabebana...
 
Kuna watu tulimaliza nao chuo wakaahi kupata kazi. Sasa mie miaka minne mtaani nasafa. Nikaja kupata kazi ndani ya two years pekee, yaani nadhani niliwaruka wakiwa wamesimama. Kila mtu Ana njia zake. We don't force outcome. We've ability to control process but our outcome is beyond our own capability mkuu. Hata mie Kuja kupata iyo kuwa sio am so smart guy. Am just loser,am dumb@$$ guy,am fucd ,am wrong,na not alpha guy, am best loser , I don't play macho in my life game.
We've only ability to control our performance action or the process but outcome isn't in our hands.
Also the reaction to our outcome determine who we become.
 
Mimi nafikiri wana uwezo pia IQ kubwa hao mixed races
Kina Obama na Bob Marley the like
hapana, mara nyingi ni mazingira unayolelewa,kusomea na kukulia ndio yana determine uwe mtu wa aina gani ukubwani kwako.

kwa hapa kwetu tz, kundi dogo la watz ambalo mababu zao walihamia nchini kwetu wakitokea ktk maitaifa mengine ya nje kama india, middle east na europe, kundi hili kidogo lina ile financial freedom compared na watz wazawa(wamatumbi).

kundi hili linasomesha watoto wao ktk shule bora(sio bora shule) zinazofundisha kwa lugha ya kingereza kuanzia daycare,kindergarten, primary mpaka secondary.

mtoto anayepitia ktk misingi hiyo, anakuwa well exposed na masuala mbalimbali ya kimataifa. lakini pia anakuwa na confidence ya kutosha anapokuwa mtu mzima.

hivi ulishawahi kukutana na kupiga story mbili tatu na watoto wanaosoma IST(international school of tanganyika)?.
 
Mawazo ya mtoa thread ndio ile level ya UCHAWI na USHIRIKINA unapoanzia, em waza hawa walozi wanaozuia maendeleo yetu mitaan bila sababu za msingi unazani ni nin kama sio wivu wa kimaendeleo.

Mtu asikuone unamiliki kibaiskel wakati yeye hana hata tail, basi huyo keshaenda handeni kukuvunjia nazi njia panda.

Mwingine ni mzee akikuona kijana mdogo unamilik mjengo wakt kwa umri wake alpokuwa kama wew alikuwa bado anahangaika kupanga, anaona kama dharau anaanza visa na hujma za kipumbavu.

Broo nakushauri tafta kamba ama sumu ya uwakika jiuwe haraka sana kabla iyo tamaa yako haijazaa chuki mbaya.

[emoji117]jiuwe haraka
 
Maisha hayako sawa kwa binadamu.. Imagine mchezaji wa Liverpool, Mo Salah anapokea Tsh Million 950 kwa wiki, yes ni kwa wiki sio mwezi.. Hii haijumuishi bonus anazopata klabuni hapo..
Remember, Life is not about making money only..
 
hapana, mara nyingi ni mazingira unayolelewa,kusomea na kukulia ndio yana determine uwe mtu wa aina gani ukubwani kwako.

kwa hapa kwetu tz, kundi dogo la watz ambalo mababu zao walihamia nchini kwetu wakitokea ktk maitaifa mengine ya nje kama india, middle east na europe, kundi hili kidogo lina ile financial freedom compared na watz wazawa(wamatumbi).

kundi hili linasomesha watoto wao ktk shule bora(sio bora shule) zinazofundisha kwa lugha ya kingereza kuanzia daycare,kindergarten, primary mpaka secondary.

mtoto anayepitia ktk misingi hiyo, anakuwa well exposed na masuala mbalimbali ya kimataifa. lakini pia anakuwa na confidence ya kutosha anapokuwa mtu mzima.

hivi ulishawahi kukutana na kupiga story mbili tatu na watoto wanaosoma IST(international school of tanganyika)?.

Kuna ukweli hapo
Hata pia wazee waliohamia toka nchi jirani pia kama Malawi na Zambia nao walikuwa na maono na kujua maana halisi ya Elimu

Na nimesoma nao wengi tu wengine wakiwa wamekulia vijijini ila walisomeshwa mpaka Vyuo Vikuu na kuwa marubani na doctors na wahandisi
Nawajua washikaji wangu wengi na mpaka sasa bado tunawasiliana na maana wazazi wetu walikuwa marafiki sana

Those days early 60’s and 70’s (Wahenga)
 
Kwani si ulipata kazi TRA mkuu? What happened??

niende tra au nifanyaje wakuu?
 
Wakati wewe unaona 700000 ndogo, kuna mtu anahangaika angalau apate ajira ya 300000 ili aendeshe familia yake
huyo anahangaika na 300,000/= ,wakati kuna wengine tunahangaika hata na 100,000 kwa mwezi na hatuipati...
 
Kwani si ulipata kazi TRA mkuu? What happened??

niende tra au nifanyaje wakuu?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Akijibu niite
 
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Sasa ili maisha yakushikishe adabu vizuri unaweza ukajinyonga hadi kojo linatoka harafu watu wanakuja kukuokoa hufi. Hapo roho ilikuwa inaelea juu mbali chini mbali 😄😄😄
Ukiyawazia sana yatakuambia kufa hutakufa ila chamoto utakiona. Be normal
 
Aah mzee wa kiagata..una roho nyepes utazan hutokei kiagata Murraaa...pambana
 
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Nilimaliza na classmate fulani Olevel mimi niliondoka na Div I, yeye akaondoka na Div IV tena ya mwishoni mwishoni huko.

Nikaenda Advance baadae Chuo, nikiwa mwaka wa mwisho chuoni, mara paap nikaungwa kwenye group la WhatsApp la Olevel.

Daah, sijakaa sawa nilizoee group nikaona jamaa anapost habari kuhusu Wizara fulani akiambatanisha na picha akiwa na Waziri husika. Nikachunguza nikabaini kuwa ni afisa habari kwenye hiyo wizara na anapiga route mbali mbali na waziri ndani na nje nchi.

Hadi hapo nikaikumbuka kauli ya Mwl wangu "Kufaulu mtihani sio kufaulu maisha"

Jamaa kashatoboa, kwanza katengeneza koneksheni na mawaziri maana kwenye wizara alipo kashakutana na mawazii tofauti tofauti hadi sasa.

Mimi na lidigrii langu bado mbele giza..

Tuishi kwenye kauli hii Kila mmoja kaandikwa na kukadiriwa riziki yake na muumba, njia za kuiendea hiyo riziki ndio zinatofautiana na muda wa kuipata unatofautiana

Tuendelee kupambana!
 
Kwani si ulipata kazi TRA mkuu? What happened??

niende tra au nifanyaje wakuu?
Chai nyingi humu Kila mtu boss [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mshafukua kaburi

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Yeah,huyu jamaa mama yake ni mrusi na baba yake mchaga wa marangu huko kama sikosei ingawa nadhani mzee wake anaishi iringa ambako ndiko amewekeza miradi yake ikiwemo moja ya shule maarufu huko iringa.
Huyu dogo kasoma na Bro. Shule moja hivi inaitwa Broke Bond iko Mufindi Iringa na iko chini ya Uniliver
 
Back
Top Bottom