Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.

iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.
Ni kweli kwa sababu connection yao ni ndefu kulinganisha na mtoto wa mbagala aliyesomea shule za kata marafiki zake watakuwa ni watu waliomzunguka tu kuanzia mbagala hadi chang'ombe.
So huwezi kulinganisha na mtu amesomea shule na watoto wa mabalozu wa nchi mbalimbali plus watoto wa mafisadi anakuwa na uwanja mpana.
 
nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.

iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.

Mimi nafikiri wana uwezo pia IQ kubwa hao mixed races
Kina Obama na Bob Marley the like
 
nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.

iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.
Rangi huwafanya waaminike.😂😂😂😂
 
Mimi nafikiri wana uwezo pia IQ kubwa hao mixed races
Kina Obama na Bob Marley the like
Mkuu sidhani kumix race kunachangia IQ bali matunzo na malezi ya kutokea utotoni
Wataalamu wanasema zile siku 1000 za kwanza za maisha...ni muhimu sana kwa ukuaji wa ubongo..... So ikitokea wazazi wako vizuri kifedha kitu amabocho nikwawaida kwa hawa mixed race, utakuwa na Ubongo wenye afya wakuweza kuelewa na kuatafakari vizuri ukubwani
 
Ujiue kwa sababu fulani kapata
We pambana kivyako kwani huwezi kujua ukiwa mzee ndio unakuwa millionaire kama wengi tulivyo sasa
 
Mkuu sidhani kumix race kunachangia IQ bali matunzo na malezi ya kutokea utotoni
Wataalamu wanasema zile siku 1000 za kwanza za maisha...ni muhimu sana kwa ukuaji wa ubongo..... So ikitokea wazazi wako vizuri kifedha kitu amabocho nikwawaida kwa hawa mixed race, utakuwa na Ubongo wenye afya wakuweza kuelewa na kuatafakari vizuri ukubwani

Environmental in origin au sio
Hapo nimekupata vizuri
Ni makuzi mazuri pia na waliotuzunguka pia
Kama society wengi ni wizi na ulevi basi tena
 
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Magepu yapo mengi duniani. Huwezi kuyamaliza kwa kujiua au kukata tamaa.
 
Hayo ndio maisha mzee, wakati mwiingine Inaumiza(binadamu tumeumbwa hivyo) ila mshukuru mungu tu mzee, jaribu kuwaangalia wa chini yako, ndio utaona neema yake
 
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Wivu wa kijinga huo! Yaani unataka wote tufanane?
 
Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.

Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.

Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.

Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.

Sio kwa haya magape aisee

View attachment 2295845
Siku zote, ukiishi maisha ya kujilinganisha utakufa.. hasa kama kujilinganisha kwako unakufanya ili kujiumiza..!! Ukijilinganisha kwa kutaka kujiendeleza at least unaweza win
 
Gap alilonipiga ni kubwa mno(simuonei wivu)ila najishangaa mimi mbona kaniacha mbali kiasi hiki?yani mimi bado nawaza TGS D mwenzangu hapo anawaza labda kuwa CEO wa kampuni kubwa ulimwenguni in next few years
Bado haujanijibu mkuu, hapo gap umelion kwenye cheo au mpunga anao anza kuingiza?
 
Back
Top Bottom