mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Ni kweli kwa sababu connection yao ni ndefu kulinganisha na mtoto wa mbagala aliyesomea shule za kata marafiki zake watakuwa ni watu waliomzunguka tu kuanzia mbagala hadi chang'ombe.nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.
iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.
nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.
iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.
Sio kujifariji ndio ukweli wenyewe na ndio asili ya dunia ilivyo inakuwa na watu wa mafungu mbalimbali.Hizi kauli ni za kujifariji kwakweli ..
Rangi huwafanya waaminike.😂😂😂😂nilivyoona jina "kimambo" nikajua moja kwa moja huyo ni mmatumbi mwenzetu, nilivyocheck picha yake nikagundua kumbe jina limenidanganya.
iko hivi, watu ambao ni mixed-race, rahisi sana kutoboa kimaisha kwenye vinchi hivi maskini vya dunia ya tatu. chunguza vizuri.
Mkuu sidhani kumix race kunachangia IQ bali matunzo na malezi ya kutokea utotoniMimi nafikiri wana uwezo pia IQ kubwa hao mixed races
Kina Obama na Bob Marley the like
Mkuu sidhani kumix race kunachangia IQ bali matunzo na malezi ya kutokea utotoni
Wataalamu wanasema zile siku 1000 za kwanza za maisha...ni muhimu sana kwa ukuaji wa ubongo..... So ikitokea wazazi wako vizuri kifedha kitu amabocho nikwawaida kwa hawa mixed race, utakuwa na Ubongo wenye afya wakuweza kuelewa na kuatafakari vizuri ukubwani
Jidanganyendo ivo mzeiya naye jamaa apo pamoja na mshahara wake bado anawaonea wivu waliio juu yake wapo wanaomkae iyo 25ml kwa wiki tena form four failed
nijidanganye vipi sasa mkuu ml 25 we unaona nyingii e iyo ni 10000$ ambayo ni pesa kidogo sana ujui tu ungekuwa ktk nafasi yake ungeelewa nina maanisha nini,Jidanganye
Magepu yapo mengi duniani. Huwezi kuyamaliza kwa kujiua au kukata tamaa.Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.
Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.
Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.
Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.
Sio kwa haya magape aisee
View attachment 2295845
Wivu wa kijinga huo! Yaani unataka wote tufanane?Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.
Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.
Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.
Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.
Sio kwa haya magape aisee
View attachment 2295845
kwani fair yenyewe ni fair mkuu?Au tunaisingizia life kuwa sio fair while fair it self is not fair.Life is not fair
Siku zote, ukiishi maisha ya kujilinganisha utakufa.. hasa kama kujilinganisha kwako unakufanya ili kujiumiza..!! Ukijilinganisha kwa kutaka kujiendeleza at least unaweza winHuyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita.
Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na vodacom Tanzania kuwa acting CFO na naamini soon anakua promoted kuwa CFO kamili.kwa haraka haraka mshahara wa CFO wa vodacom ni around 25M.
Yani hapa niko natafakari haya maisha naona kama sisi wengine hayatutendei haki pamoja na kwamba tunapambana sana tu pasipo kuchoka.
Ukiwa na moyo mdogo unaweza kujikuta unajinyonga kwa msongo wa mawazo.
Sio kwa haya magape aisee
View attachment 2295845
Bado haujanijibu mkuu, hapo gap umelion kwenye cheo au mpunga anao anza kuingiza?Gap alilonipiga ni kubwa mno(simuonei wivu)ila najishangaa mimi mbona kaniacha mbali kiasi hiki?yani mimi bado nawaza TGS D mwenzangu hapo anawaza labda kuwa CEO wa kampuni kubwa ulimwenguni in next few years