Ila jamani crown nyeusi ni bonge la gari, inavutia kweli

Ila jamani crown nyeusi ni bonge la gari, inavutia kweli

ndio maana nilikuambia nikuadd kule kwa group ungejifunza mengi zaidi
kule kuna mafundi nguli wa car mechanics hadi dr toyota yumomule kuzoa madini
gari inachambuliwa kuanzia engine hadi body kila kitu unakielewa
kwaufupi sana DHUMUNI LA MJAPAN KUTENGENEZA CROWN NI ALITAKA KULETA USHINDANI NA HIZO GERMAN SEDAN
akaona atengeneeze gari ambalo mtumiaji ambaye hawezi kuaaford german sedan atapata gari for affordable price itakayomu offer spacious,stability on high speed, luxurious,comfortability,performance
CROWN NI MOJA YA JAPANESE FLAGSHIP CAR Mjapan alituliza kichwa akakaa akatulia akatengeneza hii chuma

MERCEDEZ BENZ IS FAR BETTER MILES AWAY.........
Naomba uni add kwa hilo group mkuu
 
ndio maana nilikuambia nikuadd kule kwa group ungejifunza mengi zaidi
kule kuna mafundi nguli wa car mechanics hadi dr toyota yumomule kuzoa madini
gari inachambuliwa kuanzia engine hadi body kila kitu unakielewa
kwaufupi sana DHUMUNI LA MJAPAN KUTENGENEZA CROWN NI ALITAKA KULETA USHINDANI NA HIZO GERMAN SEDAN
akaona atengeneeze gari ambalo mtumiaji ambaye hawezi kuaaford german sedan atapata gari for affordable price itakayomu offer spacious,stability on high speed, luxurious,comfortability,performance
CROWN NI MOJA YA JAPANESE FLAGSHIP CAR Mjapan alituliza kichwa akakaa akatulia akatengeneza hii chuma

MERCEDEZ BENZ IS FAR BETTER MILES AWAY.........

Nakutumia namba uni add mkuu[emoji2]
Tusije kuangamia kwa kukosa maarifa
 
hahaha powa usihofu nitafanya namna,,,zamani tulikua wanaingia hadi wazamiaji{wasiokua na crown}ila siku hizi wanataka kuleta ujuaji kuwakazia ambao hawana magari,,,,,mimi sina hata baiskeli ila hamna ataeleta fujo kwangu
Ndugu nimekutumia namba uniunge kwa group hilo
 
Mtu analuambia hakuna gari hapo ila yeye gari anaiota ndotoni tu ukichunguza hata baba ake hakumiliki hata batavuzi
 
ndio maana nilikuambia nikuadd kule kwa group ungejifunza mengi zaidi
kule kuna mafundi nguli wa car mechanics hadi dr toyota yumomule kuzoa madini
gari inachambuliwa kuanzia engine hadi body kila kitu unakielewa
kwaufupi sana DHUMUNI LA MJAPAN KUTENGENEZA CROWN NI ALITAKA KULETA USHINDANI NA HIZO GERMAN SEDAN
akaona atengeneeze gari ambalo mtumiaji ambaye hawezi kuaaford german sedan atapata gari for affordable price itakayomu offer spacious,stability on high speed, luxurious,comfortability,performance
CROWN NI MOJA YA JAPANESE FLAGSHIP CAR Mjapan alituliza kichwa akakaa akatulia akatengeneza hii chuma

MERCEDEZ BENZ IS FAR BETTER MILES AWAY.........
Naomba link ya hilo group.
 
mkuu shule ulienda kusomea nini?
Haya Fundi maiko
Hebu elezea kwa kutumia fizikia ili nimuone yule profesa aliyenifundisha damping coefficients alikuwa kilaza
1697542167318.jpeg
 
Back
Top Bottom