zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Bonge hujajibu swali langu hapo juuHahahha😂😂😂
Eti frequency za FM radio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonge hujajibu swali langu hapo juuHahahha😂😂😂
Eti frequency za FM radio
Hata Mimi hapo soko la Songea nilishawahi kutapeliwa 😅😅😅Ni Hapa Soko kuu la Songea mkuu
Sahivi hawaniwezi nshajua mbinu zaoWangekulamba siku hio ungelia kila sehemu
Bonge ungejibu swali langu hapoSerious nadhani wanatumia dawa sio bure
Mbona comment yako sikuiona mapema mkuu,.Kilichopo nitakuchangia endapo ukihitaji msaada .
Unaipa Either lipa namba nikuwekee hata 300K
Pole wanazotoa watu hazina umuhimu zaidi ya kukubusti
Duuh,.Welcome to 2025....... !!! Your year will be full of miseries and drawbacks !!
Umepigwa za uso na wewe walikulamba utakua bonge na wewe sio bureHata Mimi hapo soko la Songea nilishawahi kutapeliwa 😅😅😅
Nimetoka zangu home Bombambili nikashuka kwenye daladala tu wakanidaka wakaniita mpaka majina yangu yote matatu. Story nyingi sana na enzi zile nilikuwa na miaka kama 16 tu. Aisee walinipumbaza akili wakanipeleka mpaka pale Bank ya NBC nikawapa hela 80,000 aisee.
Akili zimekuja kunirudia baadaye, wajinga huwa wanafanya namna sio bure.
Yaan victim lazima awe bongeKwenye IT kuna kitu kinaitwa social engineering.
Ili social engineering iweze kuwa effective lazima victim awe na tabia za udadisi, naive, huruma huruuma
Mimi ni mwembamba kama Maxence Melo, Wale wangoni Wana mambo ya kishirikina aiseeUmepigwa za uso na wewe walikulamba utakua bonge na wewe sio bure
Sijui lakini, wananzengo wanasema sio uchawi lakini mmnh🤔Hata Mimi hapo soko la Songea nilishawahi kutapeliwa 😅😅😅
Nimetoka zangu home Bombambili nikashuka kwenye daladala tu wakanidaka wakaniita mpaka majina yangu yote matatu. Story nyingi sana na enzi zile nilikuwa na miaka kama 16 tu. Aisee walinipumbaza akili wakanipeleka mpaka pale Bank ya NBC nikawapa hela 80,000 aisee.
Akili zimekuja kunirudia baadaye, wajinga huwa wanafanya namna sio bure.
Huyo mwanao ambae alishaanza kutumia simu ni wakike au wakiume? Jinsia tafadhali nisijepata dipresheniPole sana, haya mambo kama hayajawahi kukutokea au kumtokea mtu wako wa karibu, unaweza hisi ni story tu!!
Mwanangu aliwahi kutapeliwa simu katika mazingira kama hayohayo. Alikuwa akikuelezea namna alivyotapeliwa yaani haiingii akilini.
Miaka ya nyuma sana nami walitaka kunifanyia mchezo huo, nashukuru account ilikuwa inasoma frequency za fm radio😅😅
Wachawi wale aisee, mtu anakuita jina lako la baba yako na Babu yako na anakuambia Baadhi ya situations hasa zile negative unazopitia?Sijui lakini, wananzengo wanasema sio uchawi lakini mmnh🤔