Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Ni Hapa Soko kuu la Songea mkuu
Hata Mimi hapo soko la Songea nilishawahi kutapeliwa 😅😅😅

Nimetoka zangu home Bombambili nikashuka kwenye daladala tu wakanidaka wakaniita mpaka majina yangu yote matatu. Story nyingi sana na enzi zile nilikuwa na miaka kama 16 tu. Aisee walinipumbaza akili wakanipeleka mpaka pale Bank ya NBC nikawapa hela 80,000 aisee.

Akili zimekuja kunirudia baadaye, wajinga huwa wanafanya namna sio bure.
 
Kilichopo nitakuchangia endapo ukihitaji msaada .

Unaipa Either lipa namba nikuwekee hata 300K


Pole wanazotoa watu hazina umuhimu zaidi ya kukubusti
Mbona comment yako sikuiona mapema mkuu,.

BArikiwa mkuu,. Unaweza ukamtumia ndugu yako wa karibu kwa niaba
Welcome to 2025....... !!! Your year will be full of miseries and drawbacks !!
Duuh,.
 
Hata Mimi hapo soko la Songea nilishawahi kutapeliwa 😅😅😅

Nimetoka zangu home Bombambili nikashuka kwenye daladala tu wakanidaka wakaniita mpaka majina yangu yote matatu. Story nyingi sana na enzi zile nilikuwa na miaka kama 16 tu. Aisee walinipumbaza akili wakanipeleka mpaka pale Bank ya NBC nikawapa hela 80,000 aisee.

Akili zimekuja kunirudia baadaye, wajinga huwa wanafanya namna sio bure.
Umepigwa za uso na wewe walikulamba utakua bonge na wewe sio bure
 
Hata Mimi hapo soko la Songea nilishawahi kutapeliwa 😅😅😅

Nimetoka zangu home Bombambili nikashuka kwenye daladala tu wakanidaka wakaniita mpaka majina yangu yote matatu. Story nyingi sana na enzi zile nilikuwa na miaka kama 16 tu. Aisee walinipumbaza akili wakanipeleka mpaka pale Bank ya NBC nikawapa hela 80,000 aisee.

Akili zimekuja kunirudia baadaye, wajinga huwa wanafanya namna sio bure.
Sijui lakini, wananzengo wanasema sio uchawi lakini mmnh🤔
 
Pole sana, haya mambo kama hayajawahi kukutokea au kumtokea mtu wako wa karibu, unaweza hisi ni story tu!!
Mwanangu aliwahi kutapeliwa simu katika mazingira kama hayohayo. Alikuwa akikuelezea namna alivyotapeliwa yaani haiingii akilini.

Miaka ya nyuma sana nami walitaka kunifanyia mchezo huo, nashukuru account ilikuwa inasoma frequency za fm radio😅😅
Huyo mwanao ambae alishaanza kutumia simu ni wakike au wakiume? Jinsia tafadhali nisijepata dipresheni
 
Hakuna Uchawi ila ni Tapeli tu wanakuwaga na IQ kubwa sana ni wewe na Huruma zako ndo zilikuponza...Yani ukiingia Mjini weka sura ya Mbuzi usicheke na WOWOTE hata akikwambia anajua ukoo wako mzima kama humjui kula kona fasta saana kwasababu Ukiendelea kumpa sikio tu umeisha
 
Back
Top Bottom