Ila madalali bwana, sasa hii ndio nyumba ya milioni 35

Ila madalali bwana, sasa hii ndio nyumba ya milioni 35

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Ila wabongo, aya bwana.
Screenshot_20250129-122422~2.png
 
Ukiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe wanatafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize vibaya mno..
 
Back
Top Bottom