ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Madalali hawajielewi! Au huko chunya hawapo?Unajua maana ya neno "potential". Mimi Dar sipajui lakini eneo kuuzwa hiyo bei sio ajabu fika ukaone kuna potential gani mpaka kuuzwa hiyo bei.
Tatizo tunapenda tu kukosoa hata hatujui ni eneo gani nyumba ilipo.