uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ila wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Kiwanja? Fala kweli wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Ndio hivyoMwenye pesa hapo akinunua kunabaki hewa na ardhi tu vingine vyote vinavunjwa.
Lakini inategemea iko wapiIla wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Kiwanja hakiuzwi anauza nyumba kwanzaKiwanja? Fala kweli wewe
15m hiyo ni hela ya eneo bado nyumba, angalia kuna video kwenye moja ya comment zangu hapo juu utaona huo mtaa na nyumba ilipo, kwa mazingira hayo hiyo 15m labda awe anauzia shida.Kubali au ukatae ila mwenye nyumba hapo hauzi zaidi ya 15M ila dalali kapiga dabo.
Aaaaa Thubutu 😄😄😄😄Una undugu na Poor Brain
Inauzwa kwa sababu ipo juu ya kifusi cha jalala na siku yoyote mvua ikikubali itateremka kuja upande tuliokaa.Ila wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Huyo unamjibu hata nyumba usikute hana.....anaona M15 hela kabisa kwa hiyo nyumba.15m hiyo ni hela ya eneo bado nyumba, angalia kuna video kwenye moja ya comment zangu hapo juu utaona huo mtaa na nyumba ilipo, kwa mazingira hayo hiyo 15m labda awe anauzia shida.
hiyo naijua LIPIA BossIla wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Nyumba ya milioni 15 au 13 jamaa wanataka wapige mara mbili wanunue Lexus SUVIla wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Wewe bibi bado hujapata bwana? Anza kupaka mkorogo..!!Nyumba mbovu kama ya yule bidada mkinga wa kariakoo
Bora umenijibia huyo ni jamii ya kina Agrey wadudu wameanza kumpanda kichwani Trump kasitisha dawa.. anatingisha kalio apoze machungu..! 😹😹😁 Atleast ana pesa 😂😂
Kizee chako wadudu wa ngwengwe wamekula mwili mpk kimeshindwa kunyanyuka, mtoto wake upo kudanga..!! Trump umemsikia lakini 😹😹😹Yule ni winga tu Hana maisha yule
Umesema Njugu?How do u finance your conjugal tour😁?
Hahahahaa. Umejua kunichekesha Mkuu. Lol.Ukiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe Wana wanafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize..