Ila madalali bwana, sasa hii ndio nyumba ya milioni 35

Ila madalali bwana, sasa hii ndio nyumba ya milioni 35

Kubali au ukatae ila mwenye nyumba hapo hauzi zaidi ya 15M ila dalali kapiga dabo.
15m hiyo ni hela ya eneo bado nyumba, angalia kuna video kwenye moja ya comment zangu hapo juu utaona huo mtaa na nyumba ilipo, kwa mazingira hayo hiyo 15m labda awe anauzia shida.
 
15m hiyo ni hela ya eneo bado nyumba, angalia kuna video kwenye moja ya comment zangu hapo juu utaona huo mtaa na nyumba ilipo, kwa mazingira hayo hiyo 15m labda awe anauzia shida.
Huyo unamjibu hata nyumba usikute hana.....anaona M15 hela kabisa kwa hiyo nyumba.
 
hiyo naijua LIPIA Boss
nyumba safi kabisa hii self kontena choo bafu ndani full masta mwenyewe kashapanga kuweka swimming pool ndani na uzio ivi karibuni hlf si unaona kuna banda la kishua la kufugia kuku na umewekewa kuku mitetea wawili wa ofa wa kuanzia hlf hapo ni karibu na eapoti na umeme wa gesi wa kinyerezi ndo uo apo.
 
Nyumba mbovu kama ya yule bidada mkinga wa kariakoo
Wewe bibi bado hujapata bwana? Anza kupaka mkorogo..!!
Nikikupelekea moto unaenda kulia lia kwa mods nipewe ban.

Unaacha kuuguza kizee chako kilichopata ukimwi imekimbilia kwenye stroke unatingisha makalio tu..!!😹
 
😁 Atleast ana pesa 😂😂
Bora umenijibia huyo ni jamii ya kina Agrey wadudu wameanza kumpanda kichwani Trump kasitisha dawa.. anatingisha kalio apoze machungu..! 😹😹
Anajua mi nna njaa kali km zake..!!
 
Eli Cohen acha dharau watakupiga kitu kama goodluck haya endelea unaambiwa yangoswe muachie ngoswe shauri yako
 
Yule ni winga tu Hana maisha yule
Kizee chako wadudu wa ngwengwe wamekula mwili mpk kimeshindwa kunyanyuka, mtoto wake upo kudanga..!! Trump umemsikia lakini 😹😹😹
Bado hujachanganyikiwa vizuriii mpk utoe funza.!
 
Ukiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe Wana wanafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize..
Hahahahaa. Umejua kunichekesha Mkuu. Lol.

Eti muda wote wanatafuna tafuna. Lol.
 
Back
Top Bottom