Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri hao wanazidiwa na wale nyumbu wa Mr artificial chiba.....aisee wale ni wapumbavu bwana, acha kabisa!Ukiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe Wana wanafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize..
Masikini jeuri. 🤣🤣Hapo ata mil5 sitoi japo sina ata million kwenye account
Mzab ndo umepigaje hapoo. 😂😂U d t need a million in ur account to gegeda mbususu ya 40k
Uuwiii. Ila watu mna maneno. Lol.Angalau million 7 sababu sehemu ni hatarishi naweza kuteleza nikaanguka nikafa
UKITOA BABARABARA AMBAYO NI RING ROAD KINYEREZI HAKUNA POTENTIAL YOYOTE.Unajua maana ya neno "potential". Mimi Dar sipajui lakini eneo kuuzwa hiyo bei sio ajabu fika ukaone kuna potential gani mpaka kuuzwa hiyo bei.
Tatizo tunapenda tu kukosoa hata hatujui ni eneo gani nyumba ilipo.
Ipo ipo juu sana inaonekana mkaazi wa hapo ana misuli ya hatari kwenye miguuUuwiii. Ila watu mna maneno. Lol.
Sema Mkuu ukinunua si unarekebisha panakaa level. Teh.
Nimepiga kama prince dube striker dugiMzab ndo umepigaje hapoo. 😂😂
Ah lazima uwe jeuri bwana...huyo buku ten tunaitafuta kwa jasho na damu.Masikini jeuri. 🤣🤣
Umetisha. 🤣Nimepiga kama prince dube striker dugi
Eti eeeh.Ah lazima uwe jeuri bwana...huyo buku ten tunaitafuta kwa jasho na damu.
Wee hebu huko. 😂😂Vipi wee nikikupa mil35 sii unanije gea nyumba ya vyumba vitatu fresh kabisa tunahamia tunamtengeneza prince dube wetu wa ukweli ila yeye tutampa jina la prince mzabzab
Labda kama iko na kiwanja kikubwa alafu barabarani... Kinyume na hapo unapigwa...Ila wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
sasa unakataa nini tena mama yanga. wewe unapenda boli mie napenda boli unadhani hapo tukitotoa kifangan sii atakuwa zaidi ya aziz ki bibie. hutaki kuwatunuku yanga one of the best tz players to ever post samatta ?Eti eeeh.
Wee hebu huko. 😂😂
oya vipi lakini dube kweli atafunga dhidi ya kagera? akishindwa hapo basi kwa kweli kutakuwa na crisis kwenye eneo la strikingUmetisha. 🤣
daahUkiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe wanatafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize vibaya mno..
😃😀Aaaaa Thubutu 😄😄😄😄