Ila madalali bwana, sasa hii ndio nyumba ya milioni 35

Ukiwatoa chawa wa mama watu wanaofata kwa ujinga ni madalali.
Anakurupuka tu anakwambia Toyota crown ni mil40 hawana hata aibu,muda wote midomo inatafuna tafuna kama mbuzi kumbe wanatafuna madawa yao ya uchawi wanasubiri uingie kwenye mfumo wakubamize vibaya mno..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…