Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #61
😂 ntazitafuta mkuuukiwa na hela huwezi kuota ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 ntazitafuta mkuuukiwa na hela huwezi kuota ujinga
Hii kali 7 inakuwa 9Alafu kuna hili tatizo la ukikutana na demu kwenye ndoto ukimuomba namba ya simu ukiwa unaandika namba zinakataa kuingia kwenye simu ukibonyeza 7 inajiandika 9 unafuta futa hadi unashtuka usingizini hivi hii hali wenzangu mlishakutana nayo?
Vyovyote kwani kanisani ni wapi kwa hapo dodoma?Kanisani au nkuombee mbali mbali
Hayo umesema wewe sasa😂😂😂😂🙌Kwamba ni upwiru au sio 😂
Wala kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwaWalafi wala hovyo ndio watu gani mkuu?
Sana mambo ni mengiNgozi nyeusi tuna vituko
Mi nikikutana na mademu ndotoni mara nyingi nawaomba namba ila sina tabia hizo kwenye uhalisia kimbembe ni kuwa sijawahi kufanikiwa kukamilisha kuziandika hizo nambaHii kali 7 inakuwa 9
Kwa kuelezea ni ndefu ila kwa tukio kama tukio ni fupi.Hukukojoa kitandani baada ya ndoto Keisha?
Maana ndoto yako ilikuwa ndefu sana.
Huwa unajiskiaje baada ya kushindwa hilo?Mi nikikutana na mademu ndotoni mara nyingi nawaomba namba ila sina tabia hizo kwenye uhalisia kimbembe ni kuwa sijawahi kufanikiwa kukamilisha kuziandika hizo namba
Sasa ni nini kama sio hivyo, maana kama kuota kila mtu anaota.Hayo umesema wewe sasa😂😂😂😂🙌
Mungu yupo na anatulinda, watu wakaribu wengi ndio huyafanya haya na hujamkosea kitu.Nilipoota mmama mmoja hapa jirani ananirushia mkuki ule mkuki ukalenga kwenye Biblia kisha mkuki ukamrudia yule mmama, Niliamini ulinzi wa Mungu.
Hapana sipo fungu hilo mkuu la kula kwa urefu wa kamba.Wala kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwa
Basi sawaSasa ni nini kama sio hivyo, maana kama kuota kila mtu anaota.
ogea chumvi ya mawe kila siku.Nimehisi hivyo pia ila nifanyaje?
Fafanua zaidi mkuu inasaidia nini? Na namna ya kuogea, kiasi n.kogea chumvi ya mawe kila siku.
unaijua lakini?Fafanua zaidi mkuu inasaidia nini? Na namna ya kuogea, kiasi n.k
Ukiona hivo ujue Mungu anakuepisha na Mengi sanaTukio lililonishangaza nilipoamka na kukuta pete ipo juu ya t-shirt nyepesi niliyokuwa nimeivaa kabla ya kulala ikiwa imekunjwa vizuri na kuwekwa juu ya meza pembeni ya mlango. Hii pete ni zile rozari pete(kwa Waroma nadhani mnaijua vyema) muda mwingi huwa ipo kidoleni huwa naivua nikifua au kuoga na mpaka nalala ilikuwepo.
Nilivoshtuka na kuamka nashangaa mbona leo baridi kali sana, kujicheki nipo kifua wazi nikashtuka maana kumbukumbu zangu nililala na tshirt. Kuamka kuwasha taa ndio nikashuhudia hayo yote ya pete yangu kuwa juu ya tshirt iliyokunjwa vizuri. Na hata iweje siwezi weka nguo juu ya meza kwa namna ile.
Ni nini kimefanyika wakuu? Au ndio nilifanya kwa vitendo nilivyokuwa nafanya ndotoni maana kuna watu wakiota wanafanya kitu ndotoni na kwenye uhalisia wanafanya kweli kwa mfano kukimbia.
Sina historia ya kufanya matukio ndotoni baada ya miaka mingi sana kuota nacheza mpira nikapiga shuti ukutani mpaka vidole vikateguka.
Hili tukio kama utani ila limeniacha hoi, hii hii pete kuna siku niliikuta chini baada ya kuota kuna mtu anaivua. Inashangaza sana.
Sijui ina maana gani na inaashiria nini lakini naona ni ndoto tu.
Naijua mkuuunaijua lakini?
Hakika nakubaliana na hilo, hata hili nnaamini ataniepushia.Ukiona hivo ujue Mungu anakuepisha na Mengi sana