SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Najua unaahida gani,??
Mie namuona bibi kizeee
Mie namuona bibi kizeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bao au bando?Nitumie hela ya bao mkuu nikushushie ukweli nipo serious unajua kwanini nimeacha kutoa post angalia nisije nikakuambia mchawi wako akaniandama.
Bibi kizee gani huyo na anataka nn?Najua unaahida gani,??
Mie namuona bibi kizeee
We unaota au unakumbuka uliyowahi kuyaona?Kumbe bora mimi ninae ota mimi ndie muhusika mkuu kwenye movie za kizombie hasa Train to busan😅😅tafuta tafsiri
Naota sio nakumbuka 😂😂 kama ningekuwa nakumbuka singejiona mimi kama mhusikaWe unaota au unakumbuka uliyowahi kuyaona?
Huogopi kujiona we zombi lamasimba simba dangote?😂Naota sio nakumbuka 😂😂 kama ningekuwa nakumbuka singejiona mimi kama mhusika
Sinajua haiwezi tokea siogopi sanaHuogopi kujiona we zombi lamasimba simba dangote?😂
Bandoo sawa tu ila nilimwambia mtu jambo kama hili aisee nilitafutwa hadi nikaogopa kuandika tena post ukitaka nipe pesa nitalufungulia upo himaya ya wachawi na unaloshwa matakataka yao.Bao au bando?
Sio dodoma bwan wewVyovyote kwani kanisani ni wapi kwa hapo dodoma?
Ni wapiSio dodoma bwan wew
Ikitokea utafanyaje?Sinajua haiwezi tokea siogopi sana
Utanifunguliaje mkuu na tupo mbali?Bandoo sawa tu ila nilimwambia mtu jambo kama hili aisee nilitafutwa hadi nikaogopa kuandika tena post ukitaka nipe pesa nitalufungulia upo himaya ya wachawi na unaloshwa matakataka yao.
So hapo ni real upo huko
Siwezi kukutoa huko hapana ila naweza kukuambia ninani ila sasa nahitaji kulindwa maana huyu wajuzi nilimwambia tu weh nilifuatwa na wachawi wao hado POST SITOI TENAUtanifunguliaje mkuu na tupo mbali?
Unanitisha ila ntakutafuta.Siwezi kukutoa huko hapana ila naweza kukuambia ninani ila sasa nahitaji kulindwa maana huyu wajuzi nilimwambia tu weh nilifuatwa na wachawi wao hado POST SITOI TENA