Ila ndoto nyingine zinachosha, ndoto niliyoiota usiku wa kuamkia leo imenitisha.

Alafu kuna hili tatizo la ukikutana na demu kwenye ndoto ukimuomba namba ya simu ukiwa unaandika namba zinakataa kuingia kwenye simu ukibonyeza 7 inajiandika 9 unafuta futa hadi unashtuka usingizini hivi hii hali wenzangu mlishakutana nayo?
Hii kali 7 inakuwa 9
 
Nilipoota mmama mmoja hapa jirani ananirushia mkuki ule mkuki ukalenga kwenye Biblia kisha mkuki ukamrudia yule mmama, Niliamini ulinzi wa Mungu.
 
Mi nikikutana na mademu ndotoni mara nyingi nawaomba namba ila sina tabia hizo kwenye uhalisia kimbembe ni kuwa sijawahi kufanikiwa kukamilisha kuziandika hizo namba
Huwa unajiskiaje baada ya kushindwa hilo?
 
Nilipoota mmama mmoja hapa jirani ananirushia mkuki ule mkuki ukalenga kwenye Biblia kisha mkuki ukamrudia yule mmama, Niliamini ulinzi wa Mungu.
Mungu yupo na anatulinda, watu wakaribu wengi ndio huyafanya haya na hujamkosea kitu.
 
Ukiona hivo ujue Mungu anakuepisha na Mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…