Ila TFF imeamua kupuuza kabisa Feitoto. Kuna ugumu gani kusema hoja alizoweka mezani Feitoto na kufafanua kisheria kwanini hazikuwa za Msingi?


Sio tena Azam ni Uturuki!! Tatzo la ugonjwa wa akili ni kubwa sana kuliko tunavyodhania wandugu
 
Yaani timu iwe na uwezo wa kulipa mshahara wa milioni 90 kwa mwezi lakini ishindwe kutoa bilioni 1.5 ya kununua mchezaji.
@changaule inawezakana hao jamaa wakawa na dau lote la kumnunua lakini sasa wabongo waliopo kati hapo wakaweka uzibe na wakaja na million 200 hata hiyo mia Tano wameona huruma. Wabongo tunazibiana sana rizki

Haya mambo ya kuzuia wachezaji yashapitwa na wakati waache mtu akatafute maisha mbele .umri WA Mpira ni mdogo sana

Kuna maisha baada ya Mpira.


Yanga waache tamaaa hao jamaa wakija hata na million 150 wamuuze fei , waache uduanzi

Yule mwinyi ngwali walimbania timu flani huko wapi then Leo yupo kmkm.
 
huu ni uongo wa waziwazi,kwa taarifa yako yanga washamuarifu free to sale( feitoto) kuwa alipe mil 360 wavunje mkataba sasa kama wanataka 360 why wakatae 500?,tuache kubuni stori na tumwambie fei kuwa kakosea,wanaomtaka ni azam ndio maana wamempa mama yake mil 30 cash ambazo hajawai kuziona kiasi ambacho anabwabwaja hovyo,pia almeahidiwa kupanda meli za azam free tena vip kwa miaka 5 na ndugu zake fei 5 watapewa kazi azam,braza gentamaisini nakwambia yanga wanao mkataba wa fei aliosaini azam kwa sasa wametulia tu wakisubiri the right time kustrike,kama umesoma kitabu cha the godfather cha mario puzo,revenge is better when the dish is cold
wakatabahu
 

Kwahiyo nawewe umekaa ukaamini kilichoandikwa na huyu jamaa kisha ukajua kuhitimisha kwa kulaumu watu kuzuia mchezaji kwa stori za kusikia hapa mtandaoni.

Hivi twende tu katika uhalisia kwasasa Yanga inavyoendesha, mfano timu ikimuhitaji mchezaji kutoka Yanga si inapaswa kuwasilisha ofa zao kwa uongozi wa Yanga ambapo kwasasa kuna raisi wa Yanga. Sasa unaweza kuniambia wakina nani watakaoweza kuingia katikati kwa mfumo uliopo sasa kwa Yanga?
 
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba Yanga sio mahali pazuri kuchezea mchezaji mwenye ndoto za kwenda kucheza timu nyingine kubwa.

Wana roho mbaya ya kuruhusu mchezaji kutoka.
 
Fei anaonewa haiwezekan Domo anakaa bench na analipwa mil 23 kw mwezi wakati Fei anacheza kuisaidia timu na analipwa ugali na sukari milion 4!!!
Ninyi watu ninyi, Labda mkataba uliorodheshewa na kipengele cha chai.
 
Naomba radhi kwa kipi? Wewe unaaminika vipi kuwa chanzo cha taarifa? Ebu tuanze kuwa serious
 
Haya bhana bingwa
 
Mengine sina uhakika nayo sana ila Abeid naemjua mimi anaejuana na hawa Simba na Yanga atakua ni huyu tu.
 
Empty Set.
 
Hujakosea ila kwanini pamoja na kujua Jamaa ni Taahira ila bado tu 24/7 mnamsoma na kumfuatilia mno hapa JamiiForums?

Mkiitwa Fools ( Majuha ) mtakuwa mnakosewa? Nasubiria Jibu lako / Majibu yenu tafadhali.
Punguza kuandika ujinga humu ndani eti unajiita king labda king wa maaskari wa kizanzibar [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ndo Dokta Genta aka mwenyekiti wa mapopoma Jf ambae za chini chini zinadai ni Mossad's chief of station hapa bongo na kazi zake anafanyia ubalozi wa Rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…