Uchaguzi 2020 Ila Tundu Lissu ana ujasiri. Unguja alimpigia kampeni Maalim Seif na Kigoma kampigia kampeni Zitto Kabwe

Uchaguzi 2020 Ila Tundu Lissu ana ujasiri. Unguja alimpigia kampeni Maalim Seif na Kigoma kampigia kampeni Zitto Kabwe

ACt kitu ambacho hawajagudua na watagundua baada ya uchaguzi, membe ametumwa kugawa kura za upinzani.
Uwezo huo hana,ndiyo maana amejinyamazia zake.Hana madhara ndiyo sababu Mh.Lissu ananyoosha mapito.This Time wanalo!
 
Wasiwasi wangu,je ZZK akipanda jukwaani anaweza kumnadi Lissu live?Hasa katika Yale Mazingira ambayo Ana ushawishi was kutosha?
 
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni kwa swala la msimamo TAL nampongeza.

Akiwa Zanzibar huku pembeni yake amesimama mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema ni yeye akampigia kampeni maalimu Seif.

Leo akiwa Kigoma manispaa katika viwanja vya Mwanga CC huku pembeni yake akiwa amesimama mgombea ubunge wa Kigoma mjini kupitia Chadema Ni Yeye akampigia kampeni Zitto Kabwe wa ACT wazalendo.

Ujasiri huu wa TAL hata Lyatonga Mrema wa TLP hana.

Maendeleo hayana vyama!
Umoja hata kwenye familia ni jambo muhimu sana
 
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni kwa swala la msimamo TAL nampongeza.

Akiwa Zanzibar huku pembeni yake amesimama mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema ni yeye akampigia kampeni maalimu Seif.

Leo akiwa Kigoma manispaa katika viwanja vya Mwanga CC huku pembeni yake akiwa amesimama mgombea ubunge wa Kigoma mjini kupitia Chadema Ni Yeye akampigia kampeni Zitto Kabwe wa ACT wazalendo.

Ujasiri huu wa TAL hata Lyatonga Mrema wa TLP hana.

Maendeleo hayana vyama!
Binafsi lisu nimwana siasa wa kipekee ametuonyesha kuwa yeye lengo lake nikuiondowa ccm madarakani nandio maana anathubutu kumsapot mpinzani yoyote yule ilimladi tu awe anakubalika eneo usika
 
Lissu kachanganyikiwa tu. Anajua chama chake bado kiki mikoa mnne tu hapa nchini. Kilimanjaro.Arusha. mbeya na Mara. Sasa huko anakopita lazima atafute kuungwa mkono Juu kwa Juu. Bahati mbaya ameshachelewa.
 
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni kwa swala la msimamo TAL nampongeza.

Akiwa Zanzibar huku pembeni yake amesimama mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema ni yeye akampigia kampeni maalimu Seif.

Leo akiwa Kigoma manispaa katika viwanja vya Mwanga CC huku pembeni yake akiwa amesimama mgombea ubunge wa Kigoma mjini kupitia Chadema Ni Yeye akampigia kampeni Zitto Kabwe wa ACT wazalendo.

Ujasiri huu wa TAL hata Lyatonga Mrema wa TLP hana.

Maendeleo hayana vyama!
Shujaa ni yule anayemtizama shetani machoni na kumwambia: "Wewe ni shetani." Ndivyo alivyo TAL.
 
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni kwa swala la msimamo TAL nampongeza.

Akiwa Zanzibar huku pembeni yake amesimama mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema ni yeye akampigia kampeni maalimu Seif.

Leo akiwa Kigoma manispaa katika viwanja vya Mwanga CC huku pembeni yake akiwa amesimama mgombea ubunge wa Kigoma mjini kupitia Chadema Ni Yeye akampigia kampeni Zitto Kabwe wa ACT wazalendo.

Ujasiri huu wa TAL hata Lyatonga Mrema wa TLP hana.

Maendeleo hayana vyama!

Na cha ajab hata hawamshobokei
 
sioni akili zozote alizo huyo Tundu wenu angekua anijitambua angesimama jukwaani kutueleza kua ataifanyia nn Tanzania kwa hyo miaka mitano sio kutufundisha sheria kama anavonya sasa kiufupi hana sera anatafuta kuonewa huruma na watanzania kwa aliyofanyiwa
 
Back
Top Bottom