Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wee mkauzu sana mkuuDuh kitu nashukuru sijawahi paparikia namba ya mdada hata siku moja na sidhani kama ntafanya hvo, hv mfano nasafiri naye labda dar Tanga npo nae seat moja nimuombe no?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mkauzu sana mkuuDuh kitu nashukuru sijawahi paparikia namba ya mdada hata siku moja na sidhani kama ntafanya hvo, hv mfano nasafiri naye labda dar Tanga npo nae seat moja nimuombe no?
Yani sasa mkubwa wa kazi haina haja.Duh kitu nashukuru sijawahi paparikia namba ya mdada hata siku moja na sidhani kama ntafanya hvo, hv mfano nasafiri naye labda dar Tanga npo nae seat moja nimuombe no?
Kweli mkuu maana kuna wengine hatujawahi kunyimwa namba hata iweje...Mkuu hauko attractive, mwanaume hanyimwi namba. Zingatia muonekano wako kabla haujasimamisha duu, kingine usiombe namba b4 hujajenga emotional connection lazma kuwe na kitu kitakachomfanya aendeleze maongezi na wewe kwa njia ya simu. Mwisho zingatia confidence yako ukiwa unafanya vyote hivyo
Kuna huyo mdada tulikutana Sinza Palestine pale, mimi nimempeleka mdogo wangu hospital na yeye kamleta mdogo wake tulifika muda sawa nikawa nazurura nae kwenye kulipia hiki na kile mara sindano nahisi alijua nitachukua no zake maana niliongea nae mengi lakini sikuhangaika, kama mara mbili nikapanda nae Bajaj akaja akachukua namba yeye akaniambia utakufa na nyeto.Wee mkauzu sana mkuu
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hata hivyo ni kweli mkuu utakufa na nyeto...Kuna huyo mdada tulikutana Sinza Palestine pale mm nimempeleka mdogo wangu hospital na yy kamleta mdogo wake tulifika mda sawa nikawa nazurura nae Kwenye kulipia hiki na kile mara sindano nahis alijua ntachukua no zake maaana nliongea nae mengi lkn sikuhangaika, kama mara mbili nikapanda nae Bajaj akaja akachukua namba yy akaniambia utakufa na nyeto
😁😁😁We waza nyeto tu, mambo ya kukimbilia namba ilikuwa zile kipindi Cha school bash, sijui FEMA huko na Chuoni kidogo baada ya hapo mawasiliano yawe purposive😂😂😂😂😂😂😂😂 Hata hivyo ni kweli mkuu utakufa na nyeto...
Wee kaza fuvu hivo hivo
Pole ukiongezeka umri utaacha kuomba namba Tena huyo kakuheshimu je aliye kupa namba halafu hapokei ukionana naye ukimuuliza mbona hapokei cm akakwambia ninunulie cm na line halafu ukifanya hivyo asipokee, utarudi humu jf? huo Uzi wako wa kttWakuu habari za jumapili,
Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha mschana unamuomba namba alafu anakunyima daa inaleta stress sana ila basi tu.
Hawa tunaointeract nao mda mwngn unasahau umem-save nani afu uongeze zingine tenaYani sasa mkubwa wa kazi haina haja.
😂😂😂😂😂 Acha zako wewe...😁😁😁We waza nyeto tu, mambo ya kukimbilia namba ilikua zile kipindi Cha school bash, sijui FEMA huko na Chuoni kidogo baada ya hapo mawasiliano yawe purposive
Duh nisije kuwa nachat na mtoto wa afu mbili hapa🧐😂😂😂😂😂 Acha zako wewe...
Hata pisi iwe kali vipi wee ubabaiki na namba
Mbona shangazi yangu kakunyima aloooKweli mkuu maana kuna wengine hatujawahi kunyimwa namba hata iweje...
Ila baada ya hapo kuomba vingine ndo tunakutana na changamoto aiseeee
Mfano iwe club, beach, kwenye usafiri, popote pale, siwezi mshobokea mwanamke hata kama awe mzuri kama cleopatra.. baada ya salaam kama inafaa kumsalimia(mfano nimemkuta kwenye siti ya usafiri baada ya hapo ni buyu, labda anizungumzishe yeye, akinichangamkia basi nami namchangamkia 2 times, ila akipiga buyu mie napiga buyu la millenium.)How?
Mkuu siku hizi mahusiano ni kazi kwa kuwa wanakuwa na wanaume wengi huwa hawashoboki,mimi nina bahati wengi hunipatia ila akishakupa mpaka akupe tunda unakuwa umehenya zaidi ya depo,kwanza vinataka uvitafutege wewe,usipomtafuta hakutafuta,then kulia shida KAWAIDA.😮💨😮💨😤😤Wakuu habari za jumapili,
Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha mschana unamuomba namba alafu anakunyima daa inaleta stress sana ila basi tu.
Sijui kwann hufanya hvkunyimwa namba sio tatizo, kuna wengine wanasema sina simu kila ukimbembeleza anakuambia sina simu kuna mwingine anakupa namba ukimpigia tu ana block kuna mwingine anakupa namba hapo hapo anakuomba pesa ndefu kuna mwingine anakupa namba mtaongea siku ya kwanza na mtachati vizuri baadae siku mbili zikipita ukituma msg hajibu ukipiga hapokei