Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 458
- 965
This one sounds childish
Sikuhiz tunakupea alafu tunakubl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuhiz tunakupea alafu tunakubl
Nipe na Mimi hicho kipochi nikipapachue alafu uniblockSikuhiz tunakupea alafu tunakublock
Huaga wanasema nipe yako nitakutafuta ukimpa kuna mawili utafutwe au usitafutwe, ukiona umetafutwa jua anataka kukulilia shida especially km ukiwa mambo safiUkiomba akakunyima omba mwingine akikunyima na yeye endelea kuomba hadi upate atakaekupa
Kuna ishara hua wanatoa kuashiria uchukue Namba masai dada atakua ShahidiNamba huwa inaombwa baada ya kumpiga ukuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unachekesha, afu bado hujaijua story yangu ndani ya JF.Kelele wewe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzako yupo lockup ya miezi sita bado wewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jiandae kupokea wine sis ASAP
siku hizi watu kuna kunyimana namba kweliWakuu habari za jumapili,
Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha mschana unamuomba namba alafu anakunyima daa inaleta stress sana ila basi tu.
Naijua mwanzo mwanzo mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unachekesha, afu bado hujaijua story yangu ndani ya JF.
ishi humo, niko hapa winzaaa winzaa had mwisho wa kupumua kwangu.
Wee huogopiiii??
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila wanaume kuna muda huwa mnachekesha sana.Hata ningekutukana tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaan kwanini uninyime
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Wee ni liongoo sana, mxxxxiiiiiieeeew
Hadi vidampaaa wanakukataaa, huoni aibu?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumnyima matu namba sio uungwana hata kidogo...[emoji23][emoji23][emoji23] Ila wanaume kuna muda huwa mnachekesha sana.
Kweli wewe ni poor brain [emoji23][emoji23]Kumnyima matu namba sio uungwana hata kidogo...
Hivi ukatoa ya uwongo au uka mpa block utapungukiwa nini...
Kuliko kuamfedhehesha mkaka wa watu.
Kaona wangapi huko kaja kwako kuomba namba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nakutana na hali hiyo hata sikwepeshi ni hapo hapo unachezea ya nguoni utajua haujui
Namba kitu cha kumnyima mtu kweli.Kweli wewe ni poor brain [emoji23][emoji23]
Weeee apia!!!Katika vitu siwezi basi ni kumshobokea mwanamke.
UNAOMBA NAMBA UNANYIMWA UNA FADHAIKA????????????? BASI HUNA AKILI. UNAPASWA KUSHUKURU KWA JAMBO HILO.Wakuu habari za jumapili,
Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha mschana unamuomba namba alafu anakunyima daa inaleta stress sana ila basi tu.
[emoji23] kwa nini nitoe namba ya uongo? Kama sijakuelewa sikupi we nitukane tu ila ndio namba sikupi. Huwa tunaangalia nani wa kumpa hatutoi toi tu namba kiholelaNamba kitu cha kumnyima mtu kweli.
Unaleta kabisa mtafaruku.
Unafurahi mimi wanicheke nipate aibu kisa namba...
Basi nipe ata ya uwongo nikapambane na wahudumu wa mitandao huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nzuri. Kwanza mwanamke ukimshobokea ndio unavyozidi kumfukuzia mbali. Acha ajae mwenyewe wewe unakua umebakiwa na kazi ndogo tu.Katika vitu siwezi basi ni kumshobokea mwanamke.
Basi ni vile ukikutana na mnyonge una mzingua kweli kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji23] kwa nini nitoe namba ya uongo? Kama sijakuelewa sikupi we nitukane tu ila ndio namba sikupi. Huwa tunaangalia nani wa kumpa hatutoi toi tu namba kiholela
Roho mbaya tena jamani basi paka rangi iwe nzuri [emoji23][emoji23][emoji23]Basi ni vile ukikutana na mnyonge una mzingua kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Roho mbaya tu
Kitendo unachofanya jamii inakushangaa sana....Roho mbaya tena jamani basi paka rangi iwe nzuri [emoji23][emoji23][emoji23]