Ila wanaume tuna shida, hali ya kuomba namba na kunyimwa ni mfadhaiko mkubwa sana

Ila wanaume tuna shida, hali ya kuomba namba na kunyimwa ni mfadhaiko mkubwa sana

Kweli umestaafu sa hvi umekua na kasura kaupole kabisa....
Alafu kama nilikua nakuona na tshirt yako ya jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] T-shirt ipii ya JF? nna zawadi za JF ila nlikofichaa cjui nani ataonaa.

Kuna hako ka diary, ni katamu balaa, nashindwa kukatumia watu watajua mie ni memba wa JF, woiiiih
 
Nyoooooo... Now kuna mapaparzi kina poor weee jichanganye tuu naona ushaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upaparazi? Sasa hiyo c ndo konkiii mi mwenyewe? Au unataka nikufunulie yako? Sema suu!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] T-shirt ipii ya JF? nna zawadi za JF ila nlikofichaa cjui nani ataonaa.

Kuna hako ka diary, ni katamu balaa, nashindwa kukatumia watu watajua mie ni memba wa JF, woiiiih
Bana bana... Hayo mambo ya tuzo kipindi kile mbna watu walishakujua
coca ndo mana nasema hyo t-shirt unayo 😂😂😂😂😂😂😂

😂😂😂😂😂 Wee katume ahahaha ukute watu wana kujadili kama siku ile.....
 
Thubutuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upaparazi? Sasa hiyo c ndo konkiii mi mwenyewe? Au unataka nikufunulie yako? Sema suu!!!
Nyooo tulia wewe utaniwi....
😂😂😂😂😂😂 Unataka nibadilishe ID mara ngapi we mdada
 
Bana bana... Hayo mambo ya tuzo kipindi kile mbna watu walishakujua
coca ndo mana nasema hyo t-shirt unayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee katume ahahaha ukute watu wana kujadili kama siku ile.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wananijadili wapiiii? Mie sikuenda nilimtuma mtu.
Afu niliyemtuma sasa, alikua anasadifu nachokiandika humu.

Naona moderators na wadau wa JF, walidhani mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wasubiri siku special ntatimba maeneo yao.
 
Hii "nyooo" haipo kiume kabisa, naamini ww ni mwanaume. Sio kwa ubaya, Ila hii comment haijakaa kiume aisee

Usimuendekeze sana coca, kuna mitabia utaibeba shauri yako
😂😂😂😂😂😂😂😂 Wee amini hivo hivo...
Na ndo inavotakiwa..
👊👊👊👊👊
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wananijadili wapiiii? Mie sikuenda nilimtuma mtu.
Afu niliyemtuma sasa, alikua anasadifu nachokiandika humu.

Naona moderators na wadau wa JF, walidhani mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wasubiri siku special ntatimba maeneo yao.
Wanasema nakuiga... 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom