Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
ila na wewe umejua kumkata mdomoIlaaaππππ,.
Alinichosha . Eti Baba ako umemwambia?
me ukimwita majina mazuri au umwite tu kisha umwangalie utasikia "ushaanza kutumia bangi"Anakaa kwanza chini akusikikilize vizuri,.ππ
Mie nikimwitaga tu majina mazuri anajua nina shida na hela labda,. Ila nyieπ
Wadada wa 70s na 80s ndio mama zenu, wengi wapo kisasa sana..ndio wamefundisha watoto wetu kuvaa vipedoπ€£Serious,. Wenzie wako romantic lakini yeye sasaπππ
Nakumbuka kuna siku alikujaga shule kwenye kikao wakati niko primary alinihug akanipa na biscuit, basi wenzangu wakajua mama angu ananipendaa ndio anavyonifanyia mpaka nyumbani, kumbeeππ
alifanya kosa kumuita baby wake kamanda kipensi, na ww ukaitumia kama Dhamana kwa baba...Haha kwanini mkuu?
Hata kumhug Leejay barabarani mtakatwa macho...mioyoni mwao they like "hawa naoo umalaya tu" π€£π€£π€£waafrika hatupo wazi sana kihisia.
kupongezana na kutiana moyo tunafanya mara moja moja sana.
kumkumbatia mtu ni kazi, inaweza kuleta shida.
ila huenda kuna faida za kuwa hivi, huenda ni tamaduni zetu.
Vipedo ni nini mkuu?Wadada wa 70s na 80s ndio mama zenu, wengi wapo kisasa sana..ndio wamefundisha watoto wetu kuvaa vipedoπ€£
Lakini sio na mama angu mimi mkuuπππ,. Naona mwaka huu kama ameanza kuzeeka au tu hataki kujichosha,. La sivyo huko zamani ukiwa unatoka anakwambia funua nguo mojamoja anahakikisha umevaa vizuri kuanzia ndani,Wadada wa 70s na 80s ndio mama zenu, wengi wapo kisasa sana..ndio wamefundisha watoto wetu kuvaa vipedoπ€£
Nini wewe. Kama wewe mtoto wa kwanza kwenu wa 2009, mama atakuwa mkongwe.Ona hii kiazi
Mwingine anakufurusha kwani leo ofisini kwenu kuna dharura πOk mama nakupenda
Baba yako huyu hapa, nae mwambie
Kaaazii kweli kweli π
Babangu hata nikipga simu dk mbili nyingi tishamaliza!Yaaaniπ¬ππ
Sawa bossNini wewe. Kama wewe mtoto wa kwanza kwenu wa 2009, mama atakuwa mkongwe.
Acha kutudanganya hapa. Mother wako wa 1990 mkuuπππ
Yaan tamaduni zetu hazikuwa hivyo yaan inabidi upate mzazi mwenye exposure!Mwingine anakufurusha kwani leo ofisini kwenu kuna dharura π
Me mzee wangu hanaga stori na mtu labda mama tu ndio wanaongeaga sana, ila sie wengine ni salamu na kufuata tu maagizo anachokisema basiBabangu hata nikipga simu dk mbili nyingi tishamaliza!
By then mama Yuko charming tutaongea mno yaan.... Ila ukimwambia chochote babako anajua!
Ila ndo vzr lzm ile heshima ya mzee ionekane!